The Iron
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 1,397
- 1,470
Kumbe ni wewe#daladalani
View attachment 1970449
NDINDA unadhani hapa maujanja ya and 100 others yatafua dafu???🙄
Kumbe ni wewe#daladalani
View attachment 1970449
NDINDA unadhani hapa maujanja ya and 100 others yatafua dafu???🙄
🤔🤔🤔... kwa mwendo huu, sina budi kudukua simu yako... kwa usalama rudisha tu ua...#daladalani
View attachment 1970449
NDINDA unadhani hapa maujanja ya and 100 others yatafua dafu???🙄
anhaa kumbe ndio ujanja wako, ngoja nimpigie simu nimpe warning ⚠️⚠️... akithubutu ajue hana kazi...😆😆😆😆😆
Ngumu sana kuvumilia!!!!😱😱 Ila sasa ukikuta nimem-convice aniache nisafiri yeye tu ndo anakusubiria itakuwaje?🤪🤪
Nipo babeBabe wangu simuoni jioni hii.
Jack Palladino
Usipotee sanaNipo babe








Hili pozi umekaaje mchumba?Wastahili utukufu
Wastahili utukufu
Yesu pekee
Wastahili utukufu
Umeketi kwenye enzi yote
Umeketi kwenye enzi yote
Yesu pekee wastahili utukufu
Dr ipyana ChibhonaView attachment 1970528
![]()
Embu jaribu kunidukua na mimi nihamasike kurudia ujinga nlowahi kuufanya zamani in retaliation 😁😁😎🤔🤔🤔... kwa mwendo huu, sina budi kudukua simu yako... kwa usalama rudisha tu ua...
Anapoteza kazi kwako anapata kazi kwangu....hiyo sini win win for him ama? 😁😁anhaa kumbe ndio ujanja wako, ngoja nimpigie simu nimpe warning ⚠️⚠️... akithubutu ajue hana kazi...
Nilining'iniza miguu kwenye kochiHili pozi umekaaje mchumba?


Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...😁😁😁, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...😄😄😄Anapoteza kazi kwako anapata kazi kwangu....hiyo sini win win for him ama? 😁😁
Usijaribu ukali wa sumu kwa ......?, umeniruhusu, tusije anza kukaririshana PGO...Embu jaribu kunidukua na mimi nihamasike kurudia ujinga nlowahi kuufanya zamani in retaliation 😁😁😎
All in all, lawama mpe NDINDA ....angepiga kimya haya yote yasingetokea.😏😏
Naingia kulala now, nimeshakunywa za kutosha hadi nimeanza kuhaidi vijana kazi wakati me mwenyewe natafuta kazi 😜😜😜Asante boss.
Endelea kupasha tumbo na pombe