Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😆😆😆😆😆

Ngumu sana kuvumilia!!!!😱😱 Ila sasa ukikuta nimem-convice aniache nisafiri yeye tu ndo anakusubiria itakuwaje?🤪🤪
anhaa kumbe ndio ujanja wako, ngoja nimpigie simu nimpe warning ⚠️⚠️... akithubutu ajue hana kazi...
 
Mwaipaja Martha
Kaa nami tena
tapatalk_1585919971961.jpg
 
Anapoteza kazi kwako anapata kazi kwangu....hiyo sini win win for him ama? 😁😁
Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...😁😁😁, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...😄😄😄
 
Back
Top Bottom