Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😆😆😆😆😆

Ngumu sana kuvumilia!!!!😱😱 Ila sasa ukikuta nimem-convice aniache nisafiri yeye tu ndo anakusubiria itakuwaje?🤪🤪
anhaa kumbe ndio ujanja wako, ngoja nimpigie simu nimpe warning ⚠️⚠️... akithubutu ajue hana kazi...
 
Wastahili utukufu
Wastahili utukufu
Yesu pekee
Wastahili utukufu

Umeketi kwenye enzi yote
Umeketi kwenye enzi yote
Yesu pekee wastahili utukufu

Dr ipyana Chibhona[emoji91]
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
 
Mwaipaja Martha[emoji91]
Kaa nami tena[emoji445]
tapatalk_1585919971961.jpg
 
Anapoteza kazi kwako anapata kazi kwangu....hiyo sini win win for him ama? 😁😁
Akikubali kufanya kazi kwako, basi atakuwa ame fail kutekeleza contractual obligations, hio itakuwa ni breach of contract, kwa mujibu wa makubaliano lazima akutane na penalties za kufa mtu...😁😁😁, kabla hujamuajiri lazima anilipe fidia, kama upo tayari kumsadia kulipa its ok, mtakuwa mmenipa faida sana... bado mie ni mshindi...😄😄😄
 
Back
Top Bottom