Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
DahNkamu mimi napenda kula yaani napenda!!!nakifurahia chakula kutoka moyoni ndiyo maana nina kilo 95 nazidi nenepa![]()






95 !!
Selfika kidogo basi tuone

Upunguze hadi 75.
DahNkamu mimi napenda kula yaani napenda!!!nakifurahia chakula kutoka moyoni ndiyo maana nina kilo 95 nazidi nenepa![]()







Yaani hapa miguu inatetemeka,yale mabonde dahpole na asante kwa kutuwakilisha









Dereva makini ni yule anaekagua tairi kabla hajaingia kwa road.Mizururo time....View attachment 1969479
Dah
95 !!
Selfika kidogo basi tuone
Upunguze hadi 75.
Nkamu nimeshindwaa nishajitahidi sana nimeshindwaa nimebaki tu nasikitika










Ingekuwa inawezekana,ungenipunguzia 20 tu
Halafu wote tuwe na 75.

Hapo sehemu panachangamka daaah
Umejikatia Nia?Nkamu nimeshindwaa nishajitahidi sana nimeshindwaa nimebaki tu nasikitika
Mnakuja mbeya na hamsemi



Sana, uzuri wake chakula kinapatikana muda mwingiHapo sehemu panachangamka daaah
Njoo unywe Saint Anna zako hadi uanze kuongea siri zako zote ndiyo nikupeleke kwenu 😅Mnakuja mbeya na hamsemi
Ona nipo pembeni yako na haujaniona.
😆😆😆😆😆Nimemtuma 2 months b4 aje kuhakikisha unapata ulinzi na hausafiri kama ulivyosema ☺️
kuhusu kuzingwa vumilia , xmas ikiisha unakuwa huru...😉, wanasema usicheze mbali😆
Asante mkuuNjoo unywe Saint Anna zako hadi uanze kuongea siri zako zote ndiyo nikupeleke kwenu
Kama upo jirani nishtue
😃😃😃🙌Asante mkuu
Nimeshalewa,siwezi kuongeza tena.