Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
Niletee 😁😁Hivi ulinambia nikutumie ile saa Machame? Kwa guu hili haki ya nani hiyo saa naleta Mwenyewe bila kumwagiza mtu 🙈😜
Niletee 😁😁Hivi ulinambia nikutumie ile saa Machame? Kwa guu hili haki ya nani hiyo saa naleta Mwenyewe bila kumwagiza mtu 🙈😜
Saaafi, same here.Kufa kupo pale pale.
Siku hizi sijui kwanini nimeacha kuogopa kifo,,nipo tayari kwa lolote .
Viwanja ni vingi, nipe code nikujoinWapi wanaimba karioke hapa dar 😍
Mjukuu leo umejua kuniweza Babu yako, yaani licha ya giza hili mjukuu unawaka kama taa😋😋🙈🏃🏻🏃🏻Nacheza na mito tuView attachment 1961830
Nipo Moro now, wewe upo Dar?Unakuja kunifundisha kunywa?
Mbona mimi nipo ulipo,basi tu uligoma kabisa kubeba dhambi hii ya kunifundisha.
Kwahiyo umewaza ukahisi naogopa pombe![]()
I hope ni Tz

Ngoja uanguke
Kweli wajukuu leo mmeamua kunitesa, yaani hapa nilipoteza miwani yangu imenibidi kutumia ya Bibi yenu ili niweze kuwazoom vizuri. Natamani ningekuwa Kijana 😋😋🙈🏃🏻Sun light ☀View attachment 1961856
Nakuja manake si kwa Guu hilo, nitaomba angalau uniruhusu nikuguse hata mkono wako niamini kama ni wewe. Manake Mimi ni kizazi cha mwisho cha akina Thomaso tusioamini 🙈🏃🏻🏃🏻Niletee 😁😁
.... [mention]Priscallia [/mention]You really have an eye for detail, i know you made extra effort to capture those photos from the perfect angle...
Unaweza Fanya diet unakula mchicha halafu unakuja kufa kwa ajaliSaaafi, same here.

Tunapishana mchumbaNipo Moro now, wewe upo Dar?
ISO M.CodD twende kibozone tukapate moja baridi moja moto tuangalie na band.

Eheeeeee@ISO M.CodD twende kibozone tukapate moja baridi moja moto tuangalie na band.
K-vant 3 haziwezi nishinda kukununulia![]()
Karibu mchumba.Eheeeeee
,ila bia iwe ya bei rahisi
,zile za elfu 30 hapana.