ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,493
- 119,282
Sisi tumeanza ligi rasmi!
Jana mliwaokota wanyonge
Sisi tumeanza ligi rasmi!
Jana mliwaokota wanyonge
Nimekunywa maji yakutoshaaumekuwa lini white
Bebi wewe ni yupii hapo?
Hahaaa mwenye hicho kibenderaBebi wewe ni yupii hapo?
Tablet zote hizo, for data collection?
Hajaingia kwenye Guinness book of records?
Umeficha mambo mazito kwenye gwanda humoo...wenye macho ya rohoni ndio tunaweza kuyaona tu hahahahaBebi wewe ni yupii hapo?
Kwamba wewe ni mjeda? Sitaki kuongea na wewe tena

Pamoja na magwanda, yaliyomo tushayaona yani!!Hahaaa mwenye hicho kibendera
Njoo uledaaaah sio poa ...umenitamanisha haswaa
Asenali mnatusumbua na Ushindi wenuSisi tumeanza ligi rasmi!

Hahaaa hivi ile dhambi si ulisema umeacha? Daah basi tena mbinguni ndiyo ushapakosa arif!Umeficha mambo mazito kwenye gwanda humoo...wenye macho ya rohoni ndio tunaweza kuyaona tu hahahaha
Hhahaha KwaniniKwamba wewe ni mjeda? Sitaki kuongea na wewe tena![]()
Mbona Hamna kitu hapoPamoja na magwanda, yaliyomo tushayaona yani!!
Kwa ujumla wajeda na polisi sio marafiki zangu!Hhahaha Kwanini
Kwene suala la menu uko vizuri.
Mliwapata vibonde wenu.Umeamua kuita watu vipofu eti!!