Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo hivi.... Na vijiti vyetu miguuni..
IMG_20210923_120033.jpg


Simba anazaa... Nje mvua na jua..

IMG_20210923_120045.jpg
 
mkuu naahidi kutoowangusha
kwa jinsi nilivyowakimbiza mpaka sasa hawana hamu
narudi na kasi ya 5G, this time nakuja na kikosi kazi,
leo naomboleza, lakini ntarudi
mkuu niko upande wako....una pisi kali sana ila kwa humu hyo pisi yako kwa Depal haijai


unamjua chillita ww??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
mkuu niko upande wako....una pisi kali sana ila kwa humu hyo pisi yako kwa Depal haijai


unamjua chillita ww??

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Halafu Depal, bwana weeh sijui nani anamfundisha maneno ya kitaa
utamsikia
anakuita "msela", 'unayumba mwana'

juzi hapa ananiambia eti "unamwagia wazungu sehemu safii"

huyu mtoto sijui nani anamfundisha lugha zetu hizo
anajua mpaka vumbi la ''Democratic Republic...''
mhhhhhhh!!!
 
Halafu Depal, bwana weeh sijui nani anamfundisha maneno ya kitaa
utamsikia
anakuita "msela", 'unayumba mwana'

juzi hapa ananiambia eti "unamwagia wazungu sehemu safii"

huyu mtoto sijui nani anamfundisha lugha zetu hizo
anajua mpaka vumbi la ''Democratic Republic...''
mhhhhhhh!!!


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
mawardat ni mpole ni mrembo ana figure amazing, kwenye mapishi utamkuta anakula ugali mkubwa na dagaa wakavu pembeni wa mchuzi(hajui kupangilia mlo), mawardat hata ule ugali mwekundu anapiga vizuri

Lizzy huyu dada ni mrembo mchapa kazi, kwenye jiko hana mpinzani humu jf, lakini hamfikii manzi yangu kama anabisha niweke mpambano wa kukaangiza hapa,



Depal ni mrembo halafu ukimzingua anakukata kofi, anakata makofi kama nyani,ana figure amazing, kupika ni 0


Priscallia ni mrembo halafu ni mpole ana figure amazing ,sema ni slay qeen hawezi zile kazi za ki wife material ikiwemo kupika ugali, anapenda outing na kupika hawezi kama mie muongo ani prove wrong


Saint Anne ni mrembo yeye ni mtakatifu, inaonekana ni mtu wa church sana anajitahidi kupika ila hamfikii manzi yangu

manzi yangu ni mrembo, anajua kupangilia misosi mezani, anajua kupika, ana figure amazing, anaponimalizaga kabisa akipikaga lile biriani na zile nyama za kusaga wallah huyu mtoto balaa.
 
11EFBE16-71AD-435B-B9B3-D855B3BF3350.jpeg
mawardat ni mpole ni mrembo ana figure amazing, kwenye mapishi utamkuta anakula ugali mkubwa na dagaa wakavu pembeni wa mchuzi(hajui kupangilia mlo), mawardat hata ule ugali mwekundu anapiga vizuri

Lizzy huyu dada ni mrembo mchapa kazi, kwenye jiko hana mpinzani humu jf, lakini hamfikii manzi yangu kama anabisha niweke mpambano wa kukaangiza hapa,



Depal ni mrembo halafu ukimzingua anakukata kofi, anakata makofi kama nyani,ana figure amazing, kupika ni 0


Priscallia ni mrembo halafu ni mpole ana figure amazing ,sema ni slay qeen hawezi zile kazi za ki wife material ikiwemo kupika ugali, anapenda outing na kupika hawezi kama mie muongo ani prove wrong


Saint Anne ni mrembo yeye ni mtakatifu, inaonekana ni mtu wa church sana anajitahidi kupika ila hamfikii manzi yangu

manzi yangu ni mrembo, anajua kupangilia misosi mezani, anajua kupika, ana figure amazing, anaponimalizaga kabisa akipikaga lile biriani na zile nyama za kusaga wallah huyu mtoto balaa.

Proved you wrong 😂
 
Back
Top Bottom