Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nilipo dalili ya mvua vimanyunyu now,mahindi yapo kibao watu hawajauza hadi ya mwaka jana wanayo[emoji23]

Mwezi ujao raia wanaenda mashambani tena kuandaa mashamba[emoji16]

Nilipo dumla moja wanauza jero[emoji849] huko vijijini sijui wanauza mia tatu[emoji2902][emoji2902]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan we acha tyuh, ni shida tupu lol.
 
Nipo home now, Ban ya miez 2, kosa sijui maan nkaona tyuh nipo banned. Aaaah [emoji24][emoji24][emoji24]
Nilishawahi kuwa banned. Wakiku'ban wakati unaingia tu si unakuta ile msg yao 'you've been banned due to the following reason. ........ Your ban will be lifted on... Tar ya kuwa released? Kama sijasahau....

Au siku hizi ipoje? Ngoja nitawachokoza siku nijionee 😁
 
Nilishawahi kuwa banned. Wakiku'ban wakati unaingia tu si unakuta ile msg yao 'you've been banned due to the following reason. ........ Your ban will be lifted on... Tar ya kuwa released? Kama sijasahau....

Au siku hizi ipoje? Ngoja nitawachokoza siku nijionee [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee usijaribu plz dea, mie nimekoma mbna, now time hawaoneshi info ya Ban.
 
Back
Top Bottom