Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,666
- 830,555
- Thread starter
- #108,521
Hili gundu sio la nchi hiiBan ya siku saba kila baada ya siku mbili!
View attachment 1948978

Hili gundu sio la nchi hiiBan ya siku saba kila baada ya siku mbili!
View attachment 1948978

Hii ni Matema ya Kyela Mbeya?Going placesView attachment 1949114
Take me there basi 🤣Going placesView attachment 1949114
Vuneni,mlime si unaonamahindi yapo kama yote bei cheee
Bora maharage![]()



mbavu zangu mie, yaan mahindi hayana bei had watu washachoka kulima hili zao mweeeeh.Nilipo dalili ya mvua vimanyunyu now,mahindi yapo kibao watu hawajauza hadi ya mwaka jana wanayombavu zangu mie, yaan mahindi hayana bei had watu washachoka kulima hili zao mweeeeh.


huko vijijini sijui wanauza mia tatu

Mimi nilishangaa anakuja kututisha na picha yake
Hajui kina Depal wametulia wanamzoom.
Hapo bado hujapost wewe
Nasubiri nione mnavyomgaragaza
Naona amesarenda
Sasa mbona haukunishtua 🤣🤣🤣
Sijui kako wapi ka rubani ka mchaga.
yaaah nimemmis na Depal piaI miss too
Jana ulikuwa angani![]()