Hmmmm...jikoni umeniona lini?? Nyie ndo wale huambiwaga "Baby uje na chips!" on daily basis lwa kudanganyika nyie 😁😁Ah,
Lizzy wallah we ni mzuri
lizzy umeumbwa ukaumbika, halafu ulivyo hodari jikoni umenimaliza kabisa we mtoto mpaka sasa sijui niende wapi!!
Na sisi wenye allergy na protectors tukimbilie wapi? 😐😐Duh pole pia chukua protector ngumu that durable, nina protector ninayo aiseh sio rahisi kupata crakes, usichukue zile zinauzwa kila kona na kwa bei cheap, tafuta zile nzuri na unique
Anakusubiri kwa hamu sana.....usije ukamuangusha 🤨🤨🤨Vitu vya moto moto safi lizzy kama lizzy, sasa mwambie uncle wangu next week namletea ball na jersey kabisa kuna umuhimu aanze mazoezi haraka
It was wowEnheeeeeeeh! Vuta picha ile siku ambayo bebe wako Lee mligaragazana hadi ukatoka na kufuli mkononi halafu ikawa kila ukikaa ukikumbuka ile mikito unajikuta tu unacheeeka unafurahi.
Maake unajua haya mapanya wakati mwingine huwa yanakuwa kama yamepandisha mashetanibas kila ukililisha linazidi kutuna na kufukunyua naniliu zooote linafukua zilikolala linavuruguaaaa hadi unafurahi na roho yako
Mwenzangu nina vimiguu kama spoku ya baiskeli, hiyo ni camera tu imedanganyaNigawie mguu kidogo
Hiyo asali ya nyuki wadogo ni nzuri sana. Mimi nilikuwa nainywa kwa wingi kadiri niwezavyo, mwanzoni inakuwa kama haikuvutii kuinywa lakini ukiizioea ni nzuri sana hasa kwa afya.Mkuu samahani...
hivi hio asali ya hao nyuki wadogo hio ndio kazi yake?
kuna rafiki yangu wa karibu sana ameniletea dumu la lita 5, ni engineer sasa kuna projects huko mikoani alikwenda akanikabidhi kama zawadi...
sijaitumia ina uchachu flani, mi natumia hii nyingine tam tam napaka hata kwenye mkate, tupeane ujuzi ndugu...
Mkuu safiiii sana itabidi nizidishe kukushirikisha mbinu mtambuko ili zikunufaishe kamanda
A wapi!.Mwenzangu nina vimiguu kama spoku ya baiskeli, hiyo ni camera tu imedanganya
Hivo tu!!? Niliambiwa "naenda kukusemea kwa bibi", nikamwambia itakuwa vema ili aje akusaidieIt was wow
my valeeeeeeMwenzangu nina vimiguu kama spoku ya baiskeli, hiyo ni camera tu imedanganya
Nakataaaa nakataaaaMwenzangu nina vimiguu kama spoku ya baiskeli, hiyo ni camera tu imedanganya
Hivo tu!!? Niliambiwa "naenda kukusemea kwa bibi", nikamwambia itakuwa vema ili aje akusaidienikaambiwa kama wewe ulivoniambia ~ nyooooooo, nikamjibu nyooooka chini ulale nije nikuRenge
My bebeemy valeeeeee
Shori zakoNakataaaa nakataaaa