Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,017
Ndiyo umempeleka jikoni jamani ngoja nije kumchukua akacheze mpira kah
Ndiyo umempeleka jikoni jamani ngoja nije kumchukua akacheze mpira kah
Kuja Yanga ni heri niende hata Mtibwa sukari.tuchel fo everibade.......
depal hama simba njoo yanga nina pair mbili za uzi wa yanga nakupa mojaView attachment 1941702
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
aloohKuja Yanga ni heri niende hata Mtibwa sukari.
Tubaki tu kuwa pamoja kwa T. Tuchel
Ukweli ni upi?Sio kweli
Maakuli roast na michemsho tupuView attachment 1940357
Sijui kwanini wabongo wengi ukikuta ni shabiki wa Yanga, basi kwa timu za Uingereza lazima tu awe shabiki wa Chelsea.tuchel fo everibade.......
depal hama simba njoo yanga nina pair mbili za uzi wa yanga nakupa mojaView attachment 1941702
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Duuh we jamaa leo tu nimetoka kukuwazia nikajiuliza hivi huyu kijana kapotelea wapi siku hizi, au usikute kashabadili Id naingia huku nakukuta.Nitakuja kumuona na nimletee vizawadi uncle G penda yeye, shule wanafungua week ijayao sio
Goba
Naomba nitumie niweke wallpaper
Naomba nitumie niweke wallpaper
ww bongo timu gani??Sijui kwanini wabongo wengi ukikuta ni shabiki wa Yanga, basi kwa timu za Uingereza lazima tu awe shabiki wa Chelsea.
🤣🤣🤣 Hutaku uncle ajifunze jamani??? Au unataka aje aoe kisa tu mtu wa kumpikia??😳😳Ndiyo umempeleka jikoni jamani ngoja nije kumchukua akacheze mpira kah