Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Njoo tuyale for breakfast 🙂🙂Hayo maharage ni hatari![]()
Hawezi kuwa mlaini....so far yuko vizuri hataa bullies hawamsogelei. Fanya hivyo uncle, atafurahi sana 🤗🤗🤗![]()
![]()
Unaniharibia unclee wangu unataka awe mlaini kama wewe
, ngoja aanze ratiba za kupiga soccer
.. Kuoa ataoa tu sababu ni nyingi tu za kuoa na haziishi

Sio kweli, gunners tupo na yanga pia tupo!Sijui kwanini wabongo wengi ukikuta ni shabiki wa Yanga, basi kwa timu za Uingereza lazima tu awe shabiki wa Chelsea.

Nikija humu lazima macho yafurahi yani!!
Pia Kuna Liverpool ambao tupo YangaSio kweli, gunners tupo na yanga pia tupo!![]()
We mzee wa chura ni nini na hizo ban kuchezea kila siku jamani?Nimejibu kwenye posti namba 107,442 katika uzi huu ambapo ni posti ya tano kutokea hapo uliponiquote.
"Mama Some Food" 😁😁😁Asante mama Some food!..![]()
Jirani mbona umekua hot hivi
Achana na kuwa hot jirani nijibunkwanzaJirani mbona umekua hot hivi
Ankal nilisahau pole sana 😁😁ankal mimi ni Gemini ujue
Si ndo hapo sasa anko nilitaka kushangaaAnkal wewe tena!
That is very goodHawezi kuwa mlaini....so far yuko vizuri hataa bullies hawamsogelei. Fanya hivyo uncle, atafurahi sana
yeahh....ila sio kwa kutafuta maid/mpishi wa bure.
Yeah ndicho alichosema mdau, kuwa Yanga wengi ni Chelsea na Arsenal while Simba wengi ni Man U na Liverpool.Sio kweli, gunners tupo na yanga pia tupo!![]()
Ninyi ni Special casePia Kuna Liverpool ambao tupo Yanga
Ohh man I thought you were skinny, sorry.This Saturday is for picnic and what not. Y'all have a great one too.
View attachment 1943348
View attachment 1943365
View attachment 1943366
View attachment 1943369
Inabidi kwakweli!!!That is very good
Binafsi naona haipendezi mtoto wa kiume kuwa mlaini mtoto wa kiume lazima awe mbabe kiaina no matter what