Selfika na JF: Snap it. Show it

20210916_205323.jpg
 
mapya mawili


kwenye avatar huyo ni nani??


la pili umenunua jez mpya ya simba yako??.....nyongeza naenda kupindua meza nigeria....lastly nimekumiss

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Simjui... Tumuulize Valentina ndio alinitumia hiyo picha.

Sijanunua jersey aisee. Nipee zawadi basi... Pindua tukuone 🤣🤣

Umemissika pia. Tokea uende chuga umekuwa adimu hapa..


Nimeipenda Jersey ya Team Viewer 😂 niombee ili pepo lisiniandame maana sioni mwisho mzuri kabisa.

Numbisa nakusalimu Team viewer
 
Simjui... Tumuulize Valentina ndio alinitumia hiyo picha.

Sijanunua jersey aisee. Nipee zawadi basi... Pindua tukuone

Umemissika pia. Tokea uende chuga umekuwa adimu hapa..


Nimeipenda Jersey ya Team Viewer niombee ili pepo lisiniandame maana sioni mwisho mzuri kabisa.

Numbisa nakusalimu Team viewer
nimezoom dimpoz nikajua ni ww....chuga kutamu sana hasa ukiwa na hela mimi hela zimeisha nimerud dar.....but i miss chuga

kumbe ww ni man u fan huzuni.....jez ya simba vunja bei utapata ngoja nile mkeka this weekend







Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
nimezoom dimpoz nikajua ni ww....chuga kutamu sana hasa ukiwa na hela mimi hela zimeisha nimerud dar.....but i miss chuga

kumbe ww ni man u fan huzuni.....jez ya simba vunja bei utapata ngoja nile mkeka this weekend







Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Aliyenitumia pia alinambia the same 😂 Chuganian pako bien, karibu tena.


NO, nimependa tu zile new Jersey. Mimi ni mtoto wa Thomas Tuchel...

Wee ngoja tuuombee mkeka na muhindi 😂
 
Back
Top Bottom