Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Ka HB sana
Ka HB sana
Na litakupendeza sana ulivyo modo![]()

kumbe
Wanawake na Maendeleo ~ Vicky Kamata


Lizzy kwa nini kila nikiona Post yako namkumbuka huyu mkulungwa Han?
Muda wote anapiga Msosi au kashikilia msosi kama Chesco wa matunda na tunda lake kila kona
.
Sio mbaya ndio unahamia kama Manara. Mualama uko njiani.Hahahaha asee jf si mchezo watu wanakula bata humu balaa
Inaonekana ktk huu Uzi kapuku niko pekee yangu .wengi wakishua humu
Kituko cha Dunia kwa sasa:
1. Waliochanjwa wanasubiri wasiochanjwa wafe,
2. Wasiochanjwa wanasubiri waliochanjwa wafe
Mtaniambia au mtawaambi![]()


Hii ni singida??
🤣🤣🤣🤣🤣Lizzy kwa nini kila nikiona Post yako namkumbuka huyu mkulungwa Han?
Muda wote anapiga Msosi au kashikilia msosi kama Chesco wa matunda na tunda lake kila kona
.
View attachment 1906664
Niko huku Kilindi mkuu. Nitashukuru ukinipea lift mkuuSijambo mkuu,uko wapi nikupitie nikupe lift?😁😁😁
Sawa, lakini si unakumbuka shakira aliwahi kuimba "Hips Dont Lie"?! Sasa unaonaje tukisema "Toes Don't Lie"? 😂😂😂Just being honest 🙂🙂