Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aiseeee tuna ugomvi mpendwa basi sorry kwa reply yangu yaishe.
Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?

Katika vitu vigumu kwangu ni kumchagulia neno la kumwambia mtoto wa kike,hapa nikajua nimetumia lugha ya upole,kumbe ukaelewa vibaya.
 
Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?

Katika vitu vigumu kwangu ni kumchagulia neno la kumwambia mtoto wa kike,hapa nikajua nimetumia lugha ya upole,kumbe ukaelewa vibaya.
Kwa nini hutaki nikuite mkuu, nakumbuka niliwahi kukuita kaka pia ulikataa.
 
Oohh kumbe yeye ndiyo ataanza kuni attack?? Basi haina shida mie nitamaliza yeye akimwaga ugali mimi namwaga mboga na maji ya kunawa kabisa!!

Bahati nzuri vile vidole vya demu wake hata mimi nilivisave kwa ajili ya matumizi ya baadaye, halafu tukishamaliza kuchambana naye tumkaribishe chamani shosti wetu.
Nakutania mpendwa
 
Back
Top Bottom