Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Ila kumbe wewe ni mzuri vile?? Hapana aise siwezi kuwa na mwanaume aliyenizidi uzuri ni dhambi hiyo!!Acha uoga wewe,,,huku mahaba niue..Karibu sana!
Ila kumbe wewe ni mzuri vile?? Hapana aise siwezi kuwa na mwanaume aliyenizidi uzuri ni dhambi hiyo!!Acha uoga wewe,,,huku mahaba niue..Karibu sana!
Unatumia neno "sunnah" vibaya. Usifanye hivyo tena.Mie mwanamke woga kwangu sunnah eti
Aiseeee tuna ugomvi mpendwa basi sorry kwa reply yangu yaishe.Usiniite mkuu,nilishakukanya.
Baharia huyo🤣hahahaha hiyo hiyo mzee
HayaNakupa miaka mia uthibitishe hilo,najua hutaweza.
Afadhali umeandika wewe ningeandika mimi asingeamini.Ila kumbe wewe ni mzuri vile?? Hapana aise siwezi kuwa na mwanaume aliyenizidi uzuri ni dhambi hiyo!!
Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?Aiseeee tuna ugomvi mpendwa basi sorry kwa reply yangu yaishe.
Sasa hivi ndivyo unavyotakiwa uwe mtoto wa kike,unakuwa mpole wa baridiiii. Nikisema mimi Zurri.Haya
Kwa nini hutaki nikuite mkuu, nakumbuka niliwahi kukuita kaka pia ulikataa.Hatuna ugomvi kabisa,sisi waarabu wa pemba tunajuana kwa vilemba. Au unataka kunikana ?
Katika vitu vigumu kwangu ni kumchagulia neno la kumwambia mtoto wa kike,hapa nikajua nimetumia lugha ya upole,kumbe ukaelewa vibaya.
Njo tuleee mkuu
Nakutania mpendwaOohh kumbe yeye ndiyo ataanza kuni attack?? Basi haina shida mie nitamaliza yeye akimwaga ugali mimi namwaga mboga na maji ya kunawa kabisa!!
Bahati nzuri vile vidole vya demu wake hata mimi nilivisave kwa ajili ya matumizi ya baadaye, halafu tukishamaliza kuchambana naye tumkaribishe chamani shosti wetu.
sasa unaogopa kuolewa
🤣🤣🤣 si tuna neutralize upate watoi wakali mamii!Ila kumbe wewe ni mzuri vile?? Hapana aise siwezi kuwa na mwanaume aliyenizidi uzuri ni dhambi hiyo!!
Na mkuu pia sipendi,hasa nikiitwa na mtoto wa kike.Kwa nini hutaki nikuite mkuu, nakumbuka niliwahi kukuita kaka pia ulikataa.
hahahah ndio uje nikutoe uwoga huo
Hivi ndivyo nilivyo mimi.We naye unahangaika kha
Siogopi kuolewa ila naogopa kuolewa na mwanaume mbabe na bondia yaani labda huo ubabe na ubondia wake auoneshe kwa wanaume wenzie siyo kwangu
Ok Zurri nimekuelewa.Na mkuu pia sipendi,hasa nikiitwa na mtoto wa kike.
Mkuu lugha ya kazi na kati ya muungwana na mtwana au maula.
Karibu mkuu