Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210911_231351.jpg


Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Haishauriwi kiafya kutumia hivi vinywaji.

Madhara yake ni makubwa sana kuliko, kuliko faida ya muda mfupi, hasa ukiwa ni mtumiaji wa mara kwa mara.

Hakuna dawa ya kuchoka.

Bali unapaswa kutii (bila shuruti), pindi mwili na akili inapokupa vishiria vya kuwa kuchoka.

Je nini cha kufanya.
  • Pata kikombe kimoja cha Maziwa fresh, ukiwa na kahawa itakuwa vyema zaidi.
  • Usiweke sukari
-KishaJipumzishe japo kwa dakika 30, kisha endelea na shughuli zako ukiwa na utimamu wa mwili na akili.
View attachment 1931966
Daaah asante mkuu, kwa upande wangu kwa wiki naweza kunywa energy drink mara 5 aisee!
 
Mishkaki ya bata kabisa??

Itabidi hiyo uje kuninunulia weye maana sijawahi kuiona wala kuisikia isipokuwa kwako

Forodhani hapo hapo ipo unapata, mafirigisi, kuku, bata yote ipo .
Mi nakumbuka niliambiwa ngoja nikuletee na maukali ndio viungo nadhani kama huku kachumbari, ukwaju etc .
 
God doesn’t make any mistakes. When He created you He wasn’t having a bad day. He didn’t accidentally leave something out. God calls you a masterpiece. He’s crowned you with His favor. You’re not lacking. You have everything you need to fulfill your destiny.
 
Forodhani hapo hapo ipo unapata, mafirigisi, kuku, bata yote ipo .
Mi nakumbuka niliambiwa ngoja nikuletee na maukali ndio viungo nadhani kama huku kachumbari, ukwaju etc .
😁😁😁

Wako vizuri sana kwenye maakuli hawa jamaa kwakweli!!🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾

Hmmmm...I'm curious 😏 but not enough to try aisre. Alafu jana niliona ya sungura 🥴🥴🥴
 
Back
Top Bottom