NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Mkuu hiyo ni Tip?
Kama kawaida unasubiri mpaka nifike mbali ndo unanipa ramani![]()
Ila nimependa hiyo sehemu ya dogo. Inabidi unipe maelezo vizuri na mimi niwe namleta dogo sometimes.![]()
japo hamna cha pisi kali wala nini
![]()
Break Point hamna shawarma sasa 😒Njoo break point makumbusho sasa…
Mwite Prince/Christian/ChristopherJamani naombeni jina zuri la kikristo kwa baby boy
Ahhhh nshasusa 😔😔😔Duh, tumepisha tena , siku nyingine basi.
Kuhusu Dogo, Hapa panamfaa, Anaweza kuja kusherehekea siku yake hapa, anaweza kuogelea, anaweza pia kucheza kwenye playground.
Kwa michezo ya kufundishwa kuna Football , Karate, swimming etc.
Football session ni 60K per Month ( four sessions each One Hour) so Kila jumamosi lisaa limoja anafundishwa na Coach mzuri.
Fuatilia account yao ya Insta kujua zaidi.
View attachment 1933758
We nijaze tu 😊😊😊3 Oclock ndio mpango mzima.
Naomba buku hiyo
BrianJamani naombeni jina zuri la kikristo kwa baby boy
Valentine, valerian victory VivianJamani naombeni jina zuri la kikristo kwa baby boy
Poleni 😔😔😔Leo Manhattan,NY pamepoa sana..9/11..View attachment 1933814View attachment 1933816View attachment 1933817View attachment 1933819
Foro kama wanavyopaita wenyewe Wazanziberii View attachment 1933779

