Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama kawaida unasubiri mpaka nifike mbali ndo unanipa ramani

Ila nimependa hiyo sehemu ya dogo. Inabidi unipe maelezo vizuri na mimi niwe namleta dogo sometimes.

Duh, tumepisha tena , siku nyingine basi.

Kuhusu Dogo, Hapa panamfaa, Anaweza kuja kusherehekea siku yake hapa, anaweza kuogelea, anaweza pia kucheza kwenye playground.

Kwa michezo ya kufundishwa kuna Football , Karate, swimming etc.

Football session ni 60K per Month ( four sessions each One Hour) so Kila jumamosi lisaa limoja anafundishwa na Coach mzuri.
Fuatilia account yao ya Insta kujua zaidi.

77d58861-fa52-4c5f-9dcd-8a375b030c9c.jpg
 
Duh, tumepisha tena , siku nyingine basi.

Kuhusu Dogo, Hapa panamfaa, Anaweza kuja kusherehekea siku yake hapa, anaweza kuogelea, anaweza pia kucheza kwenye playground.

Kwa michezo ya kufundishwa kuna Football , Karate, swimming etc.

Football session ni 60K per Month ( four sessions each One Hour) so Kila jumamosi lisaa limoja anafundishwa na Coach mzuri.
Fuatilia account yao ya Insta kujua zaidi.

View attachment 1933758
Ahhhh nshasusa 😔😔😔

Wow!!!Thanks for the info 🙂🙏🏾
Very reasonable aiseee. Ngoja nijitahidi nimlete. Ata-enjoy sana!!!!!!!
 
Back
Top Bottom