Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

giphy.gif
Haka ka utaratibu kufurahia break wakati wa primary school umekuja mpaka ukubwani, ikifika friday unakuwa na furaha sana... nafikiri wengi wanafanya kazi ambazo zilikuwa si ndoto zao... ni ile kufanya mkono uende kinywani hasa kazi za maofisi zinachosha sana...

kuna jarida fulani USA waliweka takwimu kwamba siku za kuamkia monday watu wengi huwa wana stress, wengine hata kupata shinikizo la damu n.k... mawazo ya kazi...
nafikiri kazi zina mchango mkubwa kwenye afya ya mtu idhoofu au iimarike...
 
Piga Red Bull, au Azam Energy drink...
Haishauriwi kiafya kutumia hivi vinywaji.

Madhara yake ni makubwa sana kuliko, kuliko faida ya muda mfupi, hasa ukiwa ni mtumiaji wa mara kwa mara.
Hivi dawa ya kuchoka ni nini
Hakuna dawa ya kuchoka.

Bali unapaswa kutii (bila shuruti), pindi mwili na akili inapokupa vishiria vya kuwa kuchoka.

Je nini cha kufanya.
  • Pata kikombe kimoja cha Maziwa fresh, ukiwa na kahawa itakuwa vyema zaidi.
  • Usiweke sukari
-KishaJipumzishe japo kwa dakika 30, kisha endelea na shughuli zako ukiwa na utimamu wa mwili na akili.
1631273082057.png
 
Haka ka utaratibu kufurahia break wakati wa primary school umekuja mpaka ukubwani, ikifika friday unakuwa na furaha sana... nafikiri wengi wanafanya kazi ambazo zilikuwa si ndoto zao... ni ile kufanya mkono uende kinywani hasa kazi za maofisi zinachosha sana...

kuna jarida fulani USA waliweka takwimu kwamba siku za kuamkia monday watu wengi huwa wana stress, wengine hata kupata shinikizo la damu n.k... mawazo ya kazi...
nafikiri kazi zina mchango mkubwa kwenye afya ya mtu idhoofu au iimarike...
Yaani ukisubiri kazi ya ndoto unaweza kaa unasubiri tu.

Kikubwa ni kufanya tu yoyote ili mradi mkono uende kinywani.

Mfano mimi naokota makopo mjini hapa,baadaye narudi na miambili yangu Safi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom