NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,744
- 49,623
Usije nifanyia ya kaka Hamza😀Yoh...I'm for real. Piga uone kama sipokei 🙂
Usije nifanyia ya kaka Hamza😀Yoh...I'm for real. Piga uone kama sipokei 🙂
😁😁😁....Hamza alichanganywa...mi sitokuchanganya 🙂🙂Usije nifanyia ya kaka Hamza😀
Uzee huooooNywele zimegoma kuota eti!!View attachment 1911284
Haha...Hapana siyo uzee bhana
Hii wiki bora ikwishee
😁😁😁 shida iko kwa watembezi. Sie Homebodys hatunaga shida 🙂🙂Leo ijumaa na watu wametuliaaaa nyumbani [emoji41] ohh huu ni mwezi mrefu mshahara hadi jumanne.
Sasa wewe si ushazoea joto[emoji16]
Mimi wa mkoani[emoji38].
Hata nikijisuka mwenyewe mabutu ,kesho naamka kichwa kinawasha.
Mafuta huwa napaka yoyote .
[emoji38]Suala la kusukana na mimi tulishaachana kitamboooo. Siwezi kusuka yani hata nikisuka minyoosho kichwa kitaniuma jamani. Wig zinanisave sana. Na nina kipilipili kibaya balaa