NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Usije nifanyia ya kaka Hamza😀Yoh...I'm for real. Piga uone kama sipokei 🙂
Usije nifanyia ya kaka Hamza😀Yoh...I'm for real. Piga uone kama sipokei 🙂
😁😁😁....Hamza alichanganywa...mi sitokuchanganya 🙂🙂Usije nifanyia ya kaka Hamza😀
Uzee huooooNywele zimegoma kuota eti!!View attachment 1911284
Haha...Hapana siyo uzee bhana
Hii wiki bora ikwishee
😁😁😁 shida iko kwa watembezi. Sie Homebodys hatunaga shida 🙂🙂Leo ijumaa na watu wametuliaaaa nyumbaniohh huu ni mwezi mrefu mshahara hadi jumanne.
Sasa wewe si ushazoea joto
Mimi wa mkoani.
Hata nikijisuka mwenyewe mabutu ,kesho naamka kichwa kinawasha.
Mafuta huwa napaka yoyote .
Suala la kusukana na mimi tulishaachana kitamboooo. Siwezi kusuka yani hata nikisuka minyoosho kichwa kitaniuma jamani. Wig zinanisave sana. Na nina kipilipili kibaya balaa
