The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,060
Kulikuwa na gharika,hawakukaa mule safinani kwa kupenda.Kama enzi za Nuhu na Safina...
Hebu tuma na yako Sasa.Wanasheria nguli wamekwisha wasili airport kutoka Guinea kwa Lt. Colonel Mamadou Doumbouya tayari kuhakikisha mteja wao Behaviourist anashinda kesi dhidi ya jf baada ya kula ban...
View attachment 1927705


Nmekwisha tuma... labda kama nitume tena but what will u give in return?
Achana na Anne
Nilikuomba nyingine mkuu.Nmekwisha tuma... labda kama nitume tena but what will u give in return?

Kwani nasema uongo?


Kwani nasema uongo?
Ushasema unaenda sambamba na masihi,yaani mko parallel...akirudi tu unatuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja waendelee kumtazamia Bwana





Tuma selfie yako mwaya swetieSwt Valentina![]()
Nkienda hapo kunywa navaa na na lifebuoy kabisa, inabidi mwenye bar aweke na lifebuoy mlangoni, wanywa pombe akili zao wanazijua wenyewe...
Ukiachilia mbali nitakayoituma hapa, wewe nitakutumia maselfie kibao kwa piiemTunasubiri selfie yako nawe


Bado anatibu maumivu ya banWanasheria nguli wamekwisha wasili airport kutoka Guinea kwa Lt. Colonel Mamadou Doumbouya tayari kuhakikisha mteja wao Behaviourist anashinda kesi dhidi ya jf baada ya kula ban...
View attachment 1927705
