Niko nawaangalia tu, ila najua siku nikirudi najua nitapigwa LIFE BAN maana kuna watu watakimbia ID zao kimoja hapa...
Naona Mshana Jr anawaunga mkono wakati jana tulikubaliana kuwa hakuna haja ya kuendeleza majibizano maana content ya uzi wake utaharibika...
Wasione nimekaa kimya wakadhani huyu tumempatia...
Mshana mchawi alishagajisema
Kiukweli toka juzi sijafungua uzi wowote zaidi ya huu
Pole mama.Na nimejichosha haswaaa. Mpaka nimepata njaa
Mshana katupa kauzi kazuri ka kupotezea muda.Kama mimi nikiingia basi ni humu,,
Kabisa my dear siyo sifa, halafu hata mimi nikibishana na wanaume wakiishiwa hoja huwa wanaishia kusema "mwanamke hautakiwi kuwa mbishi hivyo" huwa najitahidi kuacha ila nashindwa kwa kweli.Hahahaaa. Natamani saa zingine nisiwe mbishi ila nashindwa.
Juzi nimekaa na wababa wazee kabisa nilibishana nao hao. Nahisi walivyoondoka pale walinisema sio kwa ubishi wangu halafu nawapa na facts sio nabisha tu.
Siku nyingine nilishawahi kubishana na wengine kuhusu siasa yani bar nzima wakakaa wanatusikiliza
Tuache tabia ya ubishi sio nzuri
Enheeee umemaliza?Mwanaume ni wewe ambaye unachoweza ni kuwafuata watu mat.koni kama ushuzi ili kupata umbea.
Unathubutuje kumkashifu mtoto wewe? Umelaaniwa kabla haujazaliwa ndio maana una vinasaba vyote vya ugay.
Fanya mambo ya msingi acha habari za kutukana watoto.
Mshana katupa kauzi kazuri ka kupotezea muda.
Uzi unapoteza mwelekeo sasa!
unapata faida gani kusutana na wanawake ?Aisee ,imekuuma eeh?
Badilika sio tabia nzuri hiyo.
Nilikuwa Sina mpango wa kuingia Tena humu..Sasa utanifanya kesho niingienani asahau... MIMI... Wakati na fungu nshatenga kabisa na alarm kama zote... Na excuse kama zote
Ila nachokupendea dada mkubwa Ni kitu kimoja tu,huwa hutukani
Jana pale juu sijui lile tusi lilikutokea wapi bado natafakari.
Kabisa my dear siyo sifa, halafu hata mimi nikibishana na wanaume wakiishiwa hoja huwa wanaishia kusema "mwanamke hautakiwi kuwa mbishi hivyo" huwa najitahidi kuacha ila nashindwa kwa kweli.
Siwezi kuvumilia mtu ananiambia eti hii ni juisi wakati mimi naona kabisa hii ni pombe (huo ni mfano tu) halafu nikae kimya sasa ndicho wanaume wengi hata wa humu wanachotaka hicho wanataka tukubali kila wanachotuambia eti kwa sababu tu wao ni wanaume na sisi ni wanawake
Kwenye siasa siku hizi nimeacha ndiyo maana hata JF huwa siingii kwenye jukwaa la siasa mimi siasa ilikuwa mwaka juzi hadi mwaka jana instagram kwenye account ya Mange Kimambi kipindi kile na yeye yuko moto na nilikuwa natumia account yangu halisi yaani nilikuwa naona siku yangu haijakamilika bila kuingia instagram kutembelea account yake
Nilikuwa nachambana na watu kwenye comments kama ninavyochambana na watu humu alafu sasa nikapataga boyfriend ambaye tunatofautiana itikadi za kisiasa naye akileta za kuleta kuhusu siasa nilikuwa namchamba hadi ananiambia eti Mange Kimambi kaniharibu niache kumfuatilia nikasema siachi ng'oo ila nashangaa siku hizi hata mtu amsifie au amponde kiongozi gani wala hata sihangaiki siku hizi niko na haya mafurushi ya JF humu yaani nimekuja kugundua haya mambo ni ya muda tu yanakuja yanaisha kuna muda utafika humu nitakuwa nakuja kucomment kama Smart911 halafu natoka, oohh I just can't wait.
Hapa kwenye guu la kulia kwa juu hapa hicho kilichovimba nini?