Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Leo Nikiwa kwenye gari asbh nimesikiliza ripoti ya polisi kuhusu Hamza.



Yaani nimecheka Sana,ila polisi wa Tz Mungu anawaona

Wamesema eti alikuwa na viashiria vya ugaidi

, na kuhusu hiyo migodi ya chunya eti hana mgodi wowote wala si kweli kuwa alitaka kudhulumiwa madini


Sent using Jamii Forums mobile app
