Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo Nikiwa kwenye gari asbh nimesikiliza ripoti ya polisi kuhusu Hamza.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani nimecheka Sana,ila polisi wa Tz Mungu anawaona[emoji1787]

Wamesema eti alikuwa na viashiria vya ugaidi[emoji38][emoji38], na kuhusu hiyo migodi ya chunya eti hana mgodi wowote wala si kweli kuwa alitaka kudhulumiwa madini[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
20210903_203418.jpg
 
Back
Top Bottom