Roho kama yako sina kwakweli hongera,
Wanasema kubali yaishe nazidi kujifunza
Unaona sasa. Yani nimejishusha bado unataka league. We mtu gani unapenda vita? Sio kila vita ya kupigana mkuu. Mi nimechagua amani kwenye hii vita yako unayoniletea.
Nimekwambia yaishe ila bado unanikalia kooni.
Au kuna kitu nimekukosea nikuombe msamaha?
Sipendi makwazo yasiyo na maana hasa kwa mtu asienifahamu.
Poa, nasogea kwa wakala wa JF-Pesa.Lete hela nikutumie ninayo
Vizuri kula na nduguzo mzee😂😂😂Mie tena... Akha... Sina shobo na mtu nakula vinono vyangu ninavyotunukiwa bure kwa upendo tu
Unajua huyo anayejadiliwa mambo yalianzaje mpk ikawa hivyo?!
Kama wewe upo jf kutafuta manzi usihisi wote tuna lengo hilo Hilo
Kati ya vitu sipendi ni ugomvi. Sema mwenzangu hataki amani kabisa
Nahisi nimemkosea kitu kikubwa sana
Si umnyamazie tu na wewe? Msamaha umeomba bado hataki kimya nalo ni jibu eti
Unajaza watu upepo au sioTena mi sijui kuchamba mi natukana ila siku hizi nimepunguza ila kuna kambinu kapya nimekaanzisha mtu anajaa weeeee halafu analipuka mwenyewe nakaa kando naburudika
Magomvi sio mazuri hayafai mfate pm atakwambia ulichomkosea
We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga
eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma
Basi usimjibu nia yake ilikuwa kukuvuruga sasa na wewe ukampa nafasi,, mpuuzeHapana sina huo muda wa kumfuata pm.
Na bahati mbaya block za jf hata hazifanyi kazi.Huyo kiumbe sijui mwanamke sijui mwanaume sielewi nilichomkiseaga ni nini. Mpaka nimemblock huku ila haachi kuhangaika na mimi.
. Ila wanawake wanaojiamini ndivyo walivyo.
Nafuatilia kuanzia mwanzo, na mwenye uzi alishaasa yakaisha ila bado yanaendelea na Mshana Jr kaacha mtu ajadiliwe bila yeye kuwepo kujitetea, akiguswa mwingine mmmh anyway ngoja niwe mtazamajiUnajua huyo anayejadiliwa mambo yalianzaje mpk ikawa hivyo?!
Kama wewe upo jf kutafuta manzi usihisi wote tuna lengo hilo Hilo
Sawa, amani itawale kikubwa ukweli nimeshakufikishia,kilichobaki ni juu yako kumeza au kutema.Unaona sasa. Yani nimejishusha bado unataka league. We mtu gani unapenda vita? Sio kila vita ya kupigana mkuu. Mi nimechagua amani kwenye hii vita yako unayoniletea.
Nimekwambia yaishe ila bado unanikalia kooni.
Au kuna kitu nimekukosea nikuombe msamaha?
Sipendi makwazo yasiyo na maana hasa kwa mtu asienifahamu.
Watu wa Aina hii hawakosekani siku zoteHuyo nae anapenda vita anaonekana. Maana wewe unachokifanya ni watu wakae kwa amani yeye anasema uache tuendelee kuzozana
nahisi haujanizidi kwa kuwa short tempered mama halafu bora hata uwe unabishana na mtu mwenye hoja sasa mtanange unanoga usiombe unabishana na jitu halina hoja yaani unakosa hata nguvu za kuendelea, hayo alijisemeaga Mange Kimambi my role model kwenye kuchamba na kushusha magazeti.
Wacha we!!!mimi burudani tuu... HUU uzi binafsi na kipekee umenifaa sana... Nimepata rafiki tuka chillmno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring....... Wanaobeza acha tu wabeze