[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwanini eti jamani?? Wakati mimi ndiyo naona sikufikii wewe kwa vichambo!! Vile vichambo mlivyompa yule kaka ningepewa mimi ningetoka JF milele
Bob unabishanaje na mtoto wa kike aisee?!
Hauna lingine la kufanya?!?
Haya bhana, nimeelewa hii fasihi uliyotumia hapa.Tatizo lako wewe ni mwingi wa habari,si unajijua lakini uncle?
Hii inaweza kuwa ni moja ya habari zako nyingi
Tena mi sijui kuchamba mi natukana ila siku hizi nimepunguza ila kuna kambinu kapya nimekaanzisha mtu anajaa weeeee halafu analipuka mwenyewe nakaa kando naburudika
Acha tabia za kikeUnanidai?
Ashindweee na kutokomea mbali.Anataka nipate ban nishindwe kuenjoy huu uzi
Mwacheni mbona kuna mtu anajadiliwa hapa na hamsemi au mpo mawindoni?? acheni DOUBLE STDBob yaishe acha Uzi uendelee unavyopaswa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aahh kabisa bora ioze tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora ufie nyumbani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😆😆😆😆😆Usifanye hivyoooo mzee baba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji114][emoji114][emoji114]sisemi
acha ufala wako wa kuja kuharibu nyuzi za watuUnipe kiki kwa lipi haswa? Au kwa hiyo miguu yako iliyokaa kushoto tupu?
Jitazame upya
Aisee.
Sasa wakitajwa vijana wa kiume ,naye yule atatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mungu nisaidie nisiandike zaidi mwishoni nikapata dhambi bure.Tatizo lako unanijua sana ndo shida.
Nina kijana sio binti.
Nitabadilika niache kutapeli watu
Tuwe na amani sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]another levelHuyu Hana ligi ila vichambo vyake sio vya nchi hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Halafu huwa haongei Sana ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kapeace ni habari nyingine
Ashindweee na kutokomea mbali.
Bomu limemlipukia kweli kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woyooo[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi burudani tuu... HUU uzi binafsi na kipekee umenifaa sana... Nimepata rafiki tuka chill [emoji934] mno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring... [emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji86][emoji123][emoji109][emoji817][emoji419][emoji625][emoji779].... Wanaobeza acha tu wabeze
Tatizo lako unanijua sana ndo shida.
Nina kijana sio binti.
Nitabadilika niache kutapeli watu
Tuwe na amani sasa
Yani unamjaza akijaa anakula ban mwenyewe
Unajua huyo anayejadiliwa mambo yalianzaje mpk ikawa hivyo?!Mwacheni mbina kuna mtu anajadiliwa hapa na hamsemi au mpo mawindoni?? acheni DOUBLE STD
Sasa wakitajwa vijana wa kiume ,naye yule atatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mungu nisaidie nisiandike zaidi mwishoni nikapata dhambi bure.
Hatari Sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga
eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma