Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe mwanaume mwenye tabia za kike narudia tena UNIKOME. Sikujui hunijui unaanzaje kuniongelea ufala?

Kwanza sipendagi mazoea na mashoga tuheshimiane tafadhali.
Tapeli nilikutapeli wewe? Kwanza hela huna nakutapeli mambupu au? NIKOME
 
Ndo nikuulize wewe. Ni nini unachohangaika na mimi? Sina chochote ila kutwa kunikalia kooni kama tunashea bwana inahusu?
Embu fanya mambo yako acha kufuatilia wasiokuhusu.
Tatizo lako wewe ukiambiwa ukweli unajifanya kuwehuka.

Mimi sina tatizo na wewe kabisa,ila ninachojaribu kukwambia badilika oooh, utajiskiaje yule binti yako akianza kuiga tabia zako?
 
jina lake linaanzia na herufi gani?? 🙉🙉😆😆😆
 
We unanijua sasa siwezagi kuandika gazeti nikichoka sana kama hilo dude hapo na mzigua ....natukanaga

eeh hii ndo weakness yangu short temper nikaona wengi ndo wanapolalia na wakawa wananionea kweli nalambwa ban wakati uchokozi wanaanza wao,, sasa gia ya saiv ni nzito mtu namchokoza mpaka alipuke halafu nakaa kando namchora kwa raha zote @Karma
Huyu Hana ligi ila vichambo vyake sio vya nchi hii
.
Halafu huwa haongei Sana ...

kapeace ni habari nyingine
 
Lete hela nikutumie ninayo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…