Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_16300041757235628.jpg
 
Usinyoe
Mimi natamani kusuka ila basi tu kichwa kuwasha...na nasikia huu mkoa wenu mwezi ujao joto linakuja,, najiona kabisa siwezi kusuka
Mwenyewe umesema joto linakuja alafu unanishawishi nisinyoe kweli 😓😓😁😁😁 Ngoja tuone Sept itaanzaje 😉

Inawezekana wanaokusuka huwa wanakuvuta sana...na kama ngozi ni kavu basi lazima ukereke 🥴🥴 Ushajaribu mafuta yanayosaidia kupunguza muwasho?? Anti dandruff??
 
Usinyoe
Mimi natamani kusuka ila basi tu kichwa kuwasha...na nasikia huu mkoa wenu mwezi ujao joto linakuja,, najiona kabisa siwezi kusuka
September na October daslam ni hoves kabisa 😂 ila hiyo miezi nikiwepo uwa nang'aa kinyama.

Miezi ya joto la kukaba, ni mwendo wa kushinda ununio tu.

Kusuka kipaji, kusuka kunahitaji commitment. Me naweza jaribu leo nikashinda kesho, keshokutwa niko kwa saloon za kiume 😂
 
September na October daslam ni hoves kabisa ila hiyo miezi nikiwepo uwa nang'aa kinyama.

Miezi ya joto la kukaba, ni mwendo wa kushinda ununio tu.

Kusuka kipaji, kusuka kunahitaji commitment. Me naweza jaribu leo nikashinda kesho, keshokutwa niko kwa saloon za kiume
Duh kukaa sehemu yenye joto ni msala..nitakimbia.

Mimi nadhani nimesuka kwa muda mrefu Sana hadi sitaki tena kusuka..sasahivi ni mwendo wa kuoga tu kichwa kila siku.
 
Mwenyewe umesema joto linakuja alafu unanishawishi nisinyoe kweli Ngoja tuone Sept itaanzaje

Inawezekana wanaokusuka huwa wanakuvuta sana...na kama ngozi ni kavu basi lazima ukereke Ushajaribu mafuta yanayosaidia kupunguza muwasho?? Anti dandruff??
Sasa wewe si ushazoea joto
Mimi wa mkoani.


Hata nikijisuka mwenyewe mabutu ,kesho naamka kichwa kinawasha.
Mafuta huwa napaka yoyote .
 
Back
Top Bottom