elishaezekiel
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 563
- 1,473
Champion wa uzi
Ndiyo tushaona huna ring hahahahaa
Searching out




My favourite time of the day 🙂
112....nipo night shift 😉😉Lizzy naomba namba yako🫂.
Mwenyewe umesema joto linakuja alafu unanishawishi nisinyoe kweli 😓😓😁😁😁 Ngoja tuone Sept itaanzaje 😉Usinyoe
Mimi natamani kusuka ila basi tu kichwa kuwasha...na nasikia huu mkoa wenu mwezi ujao joto linakuja,, najiona kabisa siwezi kusuka![]()
Pete zipo ila nimehamishia miguuni 😎😁Champion wa uzi
Ndiyo tushaona huna ring hahahahaa
Searching out![]()
Yoh...I'm for real. Piga uone kama sipokei 🙂Duh, Mpaka hapo ni NEGATIVE, Copy that![]()
September na October daslam ni hoves kabisa 😂 ila hiyo miezi nikiwepo uwa nang'aa kinyama.Usinyoe
Mimi natamani kusuka ila basi tu kichwa kuwasha...na nasikia huu mkoa wenu mwezi ujao joto linakuja,, najiona kabisa siwezi kusuka![]()
Duh kukaa sehemu yenye joto ni msala..nitakimbia.September na October daslam ni hoves kabisaila hiyo miezi nikiwepo uwa nang'aa kinyama.
Miezi ya joto la kukaba, ni mwendo wa kushinda ununio tu.
Kusuka kipaji, kusuka kunahitaji commitment. Me naweza jaribu leo nikashinda kesho, keshokutwa niko kwa saloon za kiume![]()
Sasa wewe si ushazoea jotoMwenyewe umesema joto linakuja alafu unanishawishi nisinyoe kweliNgoja tuone Sept itaanzaje
Inawezekana wanaokusuka huwa wanakuvuta sana...na kama ngozi ni kavu basi lazima ukerekeUshajaribu mafuta yanayosaidia kupunguza muwasho?? Anti dandruff??

.Wajanja hawajijui....wanajulikana 😏😏Unatutumia subliminals, wajanja tushajua anyway.