T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,934
- 30,093
Haha...Unaijuaje mkuu?Hii kichwa mbona kama naijua![]()
Haha...Unaijuaje mkuu?Hii kichwa mbona kama naijua![]()
Halafu ni kweli una kasura ka kitotoView attachment 1912073
Nibandikie hapozimekuwa nzuri umezitibia na nini?
Me natamani nizikatie chini kabisa nitafute mafuta mazuri niwe napakaa ila sasa nikinyoa kiuanafunzi naonekana katotona mawigi siyawezi.
Sikuona. Na kurudi kutafuta ni kipengele 😂
Sikuona. Na kurudi kutafuta ni kipengele
Weka tu hapa chap.




,ukiona kimya ujue nimeibiwa simu huko.Sijui nimuite double R 😂
Ngoja nifike kwanza nitapiga picha,
Now nipo road,nimejilipua kwenda kariakoo,ukiona kimya ujue nimeibiwa simu huko.View attachment 1912397
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee hebu vua mawani uangalie vizuri 😂Halafu ni kweli una kasura ka kitoto
Na ghorofa zote hizo bado unalia njaa 😂 si ukaombe hata kufagia tu jamani juma3/4 sio mbali 😂Leo jumamosi pia pametulia tuuu hatuna hata senti mfukonihamna hata deal huko wakuu tupeane. Hata udalali tunauza hata ma Wig
.
View attachment 1912652
Na ghorofa zote hizo bado unalia njaasi ukaombe hata kufagia tu jamani juma3/4 sio mbali
![]()




, Nalia hapa kwa kuwa niliona Demand eneo huko juu , Nataka kusupply wigs
, kwa wenye vipilipili vyao.Hahaha kazana, watumiaji wapo., Nalia hapa kwa kuwa niliona Demand eneo huko juu , Nataka kusupply wigs
, kwa wenye vipilipili vyao.
Hahaha kazana, watumiaji wapo.
DahSijui nimuite double R![]()
Leo utashaaa kwahiyo mizunguko utayozunguruka unless uwe unaenda sehemu unayoijua haswa. Simu shika mkononi![]()
jana RRONDO alinifanya nijione mzembe Sana hadi nikaamua kufanya maamuzi magumu
.







