Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

JPEG_20210828_085935_5281648407551139185.jpg


Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Njoo nikupe tu. Zangu hazikatiki ila hazikui halafu sio nyeusi. Siku hizi kidogo zimekua nzuri ila ndo nazificha kwenye mawig
Tubadilishane 🤪
Ni heri kipilipili kuliko nywele ambayo haieleweki nyepesi si nyepesi, ngumu si ngumu. 'Yangu hiyo sasa, inakera ukilalia uchogo inakatika hatari.
 
View attachment 1912073
Nibandikie hapo zimekuwa nzuri umezitibia na nini?

Me natamani nizikatie chini kabisa nitafute mafuta mazuri niwe napakaa ila sasa nikinyoa kiuanafunzi naonekana katoto na mawigi siyawezi.
Hizi nzuri sana.


Mimi nywele yangu ikishakua tu kuichana ni mtihani,inauma mno.

Kunyoa zote natisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi nzuri sana.


Mimi nywele yangu ikishakua tu kuichana ni mtihani,inauma mno.

Kunyoa zote natisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Nzuri mbele 😂 nyumaaa hiii kwanza hazilingani mikato nayonyoa inaniharibu mno.

Ukitoka kuoga unakausha chap unapakaa mafuta na kuchana hazitouma. Ila ukisubiri mpaka umalizane na mwili + mavazi utalia
 
Nzuri mbele nyumaaa hiii kwanza hazilingani mikato nayonyoa inaniharibu mno.

Ukitoka kuoga unakausha chap unapakaa mafuta na kuchana hazitouma. Ila ukisubiri mpaka umalizane na mwili + mavazi utalia
Nywele zangu huwa zinakata chanio sometimes


Tuone nyuma zilivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom