Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,388
- 88,763
Sio hiki changu ujue. Sasa hivi nazikata tu nakuzitia marangi maana nishajikubali kusuka sio mambo yangu.
Nywele za kipilipili zikishakuwa ndefu zinakuwa nzuri tu.
Ila kichwa kuuma hilo ni tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app




