B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Mchumba

Nangoja ugeuke...
Hadi Sasa nimeshindwa kusuka nywele tena


Ndio uzee wenyewe huo sasa. Sio twanga ni kabendi tu ka kishkaji japo wanapiga vema. Siku ukikutana na vibe la vijana hutaamini. Endelea tu kujifungia night life tuachie sisiVibe la kizee?
Wanapiga live band weekend acha kabisa.
Nadhani ni Twanga pepeta wale.
Hii ni njia ya kwenda Mbezi ukitokea Kinyerezi..au nimefananisha?
Ndio uzee wenyewe huo sasa. Sio twanga ni kabendi tu ka kishkaji japo wanapiga vema. Siku ukikutana na vibe la vijana hutaamini. Endelea tu kujifungia night life tuachie sisi


Nshageuka ila hukuwepo 😎Nangoja ugeuke...
Kichwa kuwasha ni janga 😬😬😬 Kuna kiherehere cha kunyoa kinanijia....naweza kukujoin soon 😁😁Hadi Sasa nimeshindwa kusuka nywele tena
Kila nikisuka,kesho yake tu kichwa kinawasha.
Nakuona team natural hair![]()
MhhNshageuka ila hukuwepo![]()


.Kichwa kuwasha ni jangaKuna kiherehere cha kunyoa kinanijia....naweza kukujoin soon
![]()
Usinyoe