Si wewe jana umeweka Juice hapa.. ukasema Umeacha pombe.. AU?
Si wewe jana umeweka Juice hapa.. ukasema Umeacha pombe.. AU?
Unadhani Rahisi namna hiyo?

Yes shem darling....umepotea snShem darling
Ukiacha kiporo kutamu cha






Sikuhizi naona pana vibe la kizee zee hivi, weekend iliyopita nilikaa hapo kidogo nikaamsha mapema nikaingia viwanja vyetu ma yankii
Vibe la kizee?Sikuhizi naona pana vibe la kizee zee hivi, weekend iliyopita nilikaa hapo kidogo nikaamsha mapema nikaingia viwanja vyetu ma yankii
Mungu ana makusudi yakeCopy ya mguu wake
Kama si Bwana... Israeli na aseme Sasa
Huu mguu ulinusurika kuondoka kwenye ajali ya gari miaka iliyopita.
View attachment 1909298

Mungu ni mkuu mno,acha ajitwalie utukufu..Mungu ana makusudi yake
.