Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umependeza.
Hili gauni nitakuja kuliomba.
Nipo njiani nakuja kukuomba msamaha baada ya kukuzingua kwenye ule uzi wa vyakula jana😁😁😁
MHXqv.jpg
 
Habari zenu wapendwa. Kama kuna mtu mnamjua yuko na ugonjwa wa sickle cell ambao unamsumbua sana aende aga khan kuna program yakuwasaidia kutopata crisis kila mara au kuisha kabisa. Aende gorofa ya kwanza kitengo cha oncology watamuangalia km wanaweza kumfanyia .hiyo huduma ni bure .
 
Back
Top Bottom