Hahahaaa. Natamani saa zingine nisiwe mbishi ila nashindwa.
Juzi nimekaa na wababa wazee kabisa nilibishana nao hao. Nahisi walivyoondoka pale walinisema sio kwa ubishi wangu halafu nawapa na facts sio nabisha tu.
Siku nyingine nilishawahi kubishana na wengine kuhusu siasa yani bar nzima wakakaa wanatusikiliza
Huyo sidhani kama ni ME. Me hawanaga tabia za kufuatilia maisha ya watu. Kwanza hata kama mlikwaruzana sehemu yakiisha yameisha. Sasa huyo hata sijui ni nini kinamuwashaga na mimi.
We inakuhusu nini? Mi dada ako? Mkeo? Nikiwa tapeli we unateseka na nini? Niache na utapeli wangu maana hata nikifungwa hutaleta chakula.
Fanya yanayokuhusu sio kufuatilia wengine
Dah huu uzi umenivimbisha macho. Kuna picha ya mpendwa mmoja huku (mdada) natafuta kweli. Maana Naangalia post zake kwa hii thread ni kama ameshaitupia hapa
... Ila Sasa nimeshapekenyeua uzi huu balaa ila sijaiona hadi Sasa!
Fanya hata kuiniletea kwa Majaliwa bhas! Angalau nichaji mboni za macho haya siku iende Sawa.