Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi burudani tuu... HUU uzi binafsi na kipekee umenifaa sana... Nimepata rafiki tuka chill [emoji934] mno last weekend... Tunaye hapa ila kakausha kabisa... Nami nimeheshimu msimamo wake huo... Kesho tunaweza kufanya featuring... [emoji39][emoji39][emoji39][emoji7][emoji86][emoji123][emoji109][emoji817][emoji419][emoji625][emoji779].... Wanaobeza acha tu wabeze
 
We inakuhusu nini? Mi dada ako? Mkeo? Nikiwa tapeli we unateseka na nini? Niache na utapeli wangu maana hata nikifungwa hutaleta chakula.
Fanya yanayokuhusu sio kufuatilia wengine
Hata hili pia linanihusu ndio maana ninakula sahani moja na wewe.
 
Dah huu uzi umenivimbisha macho. Kuna picha ya mpendwa mmoja huku (mdada) natafuta kweli. Maana Naangalia post zake kwa hii thread ni kama ameshaitupia hapa[emoji28][emoji28]... Ila Sasa nimeshapekenyeua uzi huu balaa ila sijaiona hadi Sasa! [emoji17]

Fanya hata kuiniletea kwa Majaliwa bhas! Angalau nichaji mboni za macho haya siku iende Sawa.
 
Unatembelea fursa naona [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizi mbwembwe zinatuhusu???

nadhani ungemwambilia pm tu
Naona kajua mkewe wa tatu akituma hatasifiwa
Woooi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Karma nakufa Mimi humu ndani kwa kicheko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…