Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakika mkuu yani mpaka nataman
Kuona kizaz cha sasa kikarud tulikotoka
Watoto watakua kwenye malez mazur Sana

Nikikumbua hzo ngonjera na mapambio
Na mashair mpaka hua nataman
Turudishwe nyuma kidogo tulikotoka

Binafs hii ya jumapili nliifrahia Sana
Watoto kwenda kusoma
Mtaanzima mnajulikana yani.
Mimi hakuna mtaa sijawahi kwenda.
Nilianza kwenda shule ya jumapili Nikiwa mdogo sana na niliacha baada ya kumaliza STD 7 na kwenda sekondari.
Miaka takribani 10 naitumikia shule ya j2
Nilikuwa muanzishaji nyimbo,pia nilikuwa mpiga ngoma.

Tukienda huko tunafundishana nyimbo kibao...yaani mmarudi home mmechoka lakini mmefurahia.

Kuna namna mtoto anajengeka kwenye yale mazingira.

Wanangu wakifika miaka 3 tu naanza kuwapeleka.
 
Mimi hakuna mtaa sijawahi kwenda.
Nilianza kwenda shule ya jumapili Nikiwa mdogo sana na niliacha baada ya kumaliza STD 7 na kwenda sekondari.
Miaka takribani 10 naitumikia shule ya j2
Nilikuwa muanzishaji nyimbo,pia nilikuwa mpiga ngoma.

Tukienda huko tunafundishana nyimbo kibao...yaani mmarudi home mmechoka lakini mmefurahia.

Kuna namna mtoto anajengeka kwenye yale mazingira.

Wanangu wakifika miaka 3 tu naanza kuwapeleka.
Yale mazingira n mazuri Sana
Binafs yalinifunza na kuniepusha na
Mambo mengi sana ambayo Kama
Sio kwenda Ile shule bas

Hata shule ya msingi ingenishinda
 
IMG_1162.jpg

Machinjion serengeti
 
Back
Top Bottom