Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,247
- 90,429
......sawa sawaNilivimiss hivi vinukta ujue.
Kuna mtu alikuulizia wapi nilipo mwambie nimesharud niko kwa hewa😁😁
Ehee nani alikuwa anakumbua kipenzi changu
......sawa sawaNilivimiss hivi vinukta ujue.
Kuna mtu alikuulizia wapi nilipo mwambie nimesharud niko kwa hewa😁😁
Ehee nani alikuwa anakumbua kipenzi changu
I see....ok
Ok......sawa sawa
Vile huwa naikimbiaga vita ya Chakorii vs 'kipenzi' nisije nikacomment nikaingia matatizoni bure😁😁😁Wekeni picha
Wanaume tupo humu tunakaribia kustaafu.Kwani unasemaje Mamndenyi?Humu ni vivulana tu duu wanaume wapo jukwaa lipi
Acha kuzunguka.mface mtu chakeVile huwa naikimbiaga vita ya Chakorii vs 'kipenzi' nisije nikacomment nikaingia matatizoni bure😁😁😁
View attachment 1896914
Umependeza tupa hilo kanga pembeni ubaki na tight tu.Last night ... View attachment 1896661
Mm yakienda 'mlama' niambieNgoja mambo yaende sawa nitakwambia Lee
Hayawezi kwenda Mlama trust meMm yakienda 'mlama' niambie
Uanze wewe 😉😉Ile picha nifanyie wepesi utoe emojdada mzuri.