Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249








Hatujambo shikamoo.
Tulikumiss pia,kuona lile guu la bia.
Mchumba wangu hata Mimi nimemmiss,wiki ya 2 Sasa sijamuona.








Bwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimyaHata Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakainua macho yao, na tazama, Wamisri wanakuja nyuma yao; wakaogopa sana; wana wa Israeli wakamlilia BWANA.
Wakamwambia Musa, Je! Kwa sababu hapakuwa na makaburi katika Misri umetutoa huko ili tufe jangwani? Mbona umetutendea haya, kututoa katika nchi ya Misri?
Neno hili silo tulilokuambia huko Misri, tukisema, Tuache tuwatumikie Wamisri? Maana ni afadhali kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani.
Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa BWANA atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele.
BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
KUTOKA 14:10-14
.








,ndio kale uliwahi weka picha humu,umevaa,umekaa kwenye benchi hivi,usiku sijui jioni.Hakika mkuu yani mpaka natamanBwana atawapigania nanyi mtanyamaza kimya.
Kama vile alivyonena na Musa,akaawambie wana wa Israeli warudi na kupiga kambi mbele ya pirahtholi,Kati ya Migdoli na bahari.
- ---------------------------------------------------------
Mkuu umenikumbusha mbali,enzi za shule ya J2 tulikuwa na mikutano ya mitaa.
Nilibahatika kuzunguka mikutano kadhaa..nilikuwa sijawahi kosa kwenda.
Hii chapter hasa hiyo verse ya 14 Ndiyo ilibeba kichwa Cha mtaa.
Mashairi,ngonjera,nyimbo na maswali yalitoka hii sura.
Kuna verse pia "Simameni jipangeni mkauone wokovu wa Bwana"imejirudia pia kwenye mambo ya nyakati,2Nyak20:17
Hapa zile nyimbo nakumbuka hadi leo.
Walitujengea mazingira ya kukariri Neno maana tunaimba Neno
Nakumbuka namna nilivyokuwa nafurahia.
It's more than 15 yrs
Wazazi msiache kuwapeleka watoto shule ya jumapili.
Marahaba mtakatifu wangu.
Hatujambo shikamoo.
Tulikumiss pia,kuona lile guu la bia.
Mchumba wangu hata Mimi nimemmiss,wiki ya 2 Sasa sijamuona.
SafiHahahaha list nimeiona
Kwani unaumwa na jino?
Uko makini Saint Anne 😁😁😁
Haka kagauni,ndio kale uliwahi weka picha humu,umevaa,umekaa kwenye benchi hivi,usiku sijui jioni.
Ile picha naikubalo mno, natamani niombe full yake bila emoj.
Mpe Hi bwn, Dereva#daladalaniView attachment 1896619
HmmmmMpe Hi bwn, Dereva
Unaenda Kimbiji?#daladalaniView attachment 1896619
Msalimie konda#daladalaniView attachment 1896619
Kidogo niseme n Toyota cardina#daladalaniView attachment 1896619
Dhaaaaaaa Ila Mombasa kuna Raha jamanMwendwlezo wa kula bata Mombasa View attachment 1893313