NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Jangid plaza zilipokuwa ofisi za kufundisha jinsi ya kudaunilodi pesa kwa FOREX...
View attachment 1887608


Shetani kajibu zake very casual 😁😁...yani kama anaongea na mshkaji wake tu.Anzia Ayubu 1:1
Nilipenda sana mazungumzo ya Mungu na Shetani "Mungu anamuuliza Shetani eti umetoka wapi Shetani, Je umemwoma mtumishi wangu Ayubu" Shetani naye anajibu nimetoka huku na huko Duniani.....
Yaani it's like mazungumzo ya watu wenye kufahamiana kwa muda mrefu, na kwa akili za Kibinadamu Mungu alikuwa na uwezo wa Kumkamata Bwana Shetani na Kumwajibisha pengine kumfunga Milele ili sisi tuishi maisha ya raha mustarehe, instead they enjoyed conversation huku Sisi wengine sasa ndiyo tunapewa kazi ya kumshinda Shetani na mambo yake yote ili Twende Mbinguni.
Kwa kweli Mungu ametupa mtihani mgumu sana, yaani Kamanda Sirro anakutana na Jambazi kuu badala ya kulikamata analiacha liendelee kutishia usalama wa watu na Mali zao 😭😭
Sasa mbona mi sitaki wa nyongeza??? 🤔🤔🤔wachache...na wangu mmoja 4 kids tutawalea watoto wetu vzuri.....hope watatusaidia mimi na ww tukizeeka pamoja
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Yaani hilo andiko la Ayubu limefanya nione kama kuna hujuma tumefanyiwa, yaani unamkamta adui yako on the spot lakini unaamua kumwachia tu eti.Shetani kajibu zake very casual 😁😁...yani kama anaongea na mshkaji wake tu.
Ofcourse uwezo huo anao but then the whole concept of free will isingekuwepo. Ameamua kutuacha tujiamulie wenyewe....😏😏
hahahahahahahahah waende wote na wa kwako....tuanze upya iwe kama hakijawai tokea kituSasa mbona mi sitaki wa nyongeza???
Wakwako itabidi aende kwa bibi au mama yake![]()
TANZIA TANZIA TANZIA
Wana selfika na wana jf kwa ujumla usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia...
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko aliko Amina....
Nimeumia sana maana alikuwa ni miongoni mwa rafiki yangu hata nje ya JF...
So sad...
Mshana Jr
Dada shkamoo
Mkuu samahani namzoon tena wife wako yaani naona kila kitu organic hongera Sana.
Umetoa picha wakati mdogo wangu hajaona Saint AnneKweli tumeshindwa kuaminiana, nimemtembelea kijana wangu ofisini kwake amenipa Barakoa Nivae wakati tulikuwa wote nyumbani 😜
Tuendeleze social distance, kuvaa Barakoa na kuosha mikono kwa Maji tiririka.
Duh kitambo sana sijaona hii ID. Natumaini uko bienImagine unamega na Chopsticks.
Mkuu samahani namzoon tena wife wako yaani naona kila kitu organic hongera Sana.

shemeji yako huyo mkuu..Duh kitambo sana sijaona hii ID. Natumaini uko bien

Hayo maisha ya milele sasa....yanaonekana ni bomba sana so we have to earn it!!!Yaani hilo andiko la Ayubu limefanya nione kama kuna hujuma tumefanyiwa, yaani unamkamta adui yako on the spot lakini unaamua kumwachia tu eti.
Mimi naamini angemkamata pale na kumfunga huenda saivi tungekuwa tunaishi milele hapa Duniani
Kwakweli hiyo haiwezekaniki 😬😬hahahahahahahahah waende wote na wa kwako....tuanze upya iwe kama hakijawai tokea kitu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani namzoon tena wife wako yaani naona kila kitu organic hongera Sana.




kaka mtamu balaa kidume nimefeli hapo uongo dhambi