Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 10,031
- 34,667
Mwendo ameumaliza.. Apumzike kwa Amani.TANZIA TANZIA TANZIA
Wana selfika na wana jf kwa ujumla usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia...
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko aliko Amina....
Nimeumia sana maana alikuwa ni miongoni mwa rafiki yangu hata nje ya JF...
So sad...
Mshana Jr





