Nilikuwa nachomekea tu, hivi kwani mwanaume unaweza kumchunga kwa kutosifia kisa asichepuke??? Hahahaha kanuni yangu huwa ni moja nisijue na nakwepa kujua kuwa kuna mtu nashea nae
Nilikuwa nachomekea tu, hivi kwani mwanaume unaweza kumchunga kwa kutosifia kisa asichepuke??? Hahahaha kanuni yangu huwa ni moja nisijue na nakwepa kujua kuwa kuna mtu nashea nae
Yaani wewe tena nafasi ya nne ndio inakufaa kabisa,kwanza tunafunga mahesabu pili unakuwa pamoja na mimi sababu wale watatu wa mwanzo wataungana kukuhujumu wewe,basi mimi ndio nitazidisha mapenzi tena na tena.
niombee tu ndugu yangu ndiyo maana nasema siwezi kuolewa na huu ubishi sitaki kumtesa mtoto wa mtu mimi yaani nikiona nimeshindwa kabisa kuacha ubishi basi bora nisiolewe tu nitafute hela niwe nazurura duniani huko
Nilikuwa nachomekea tu, hivi kwani mwanaume unaweza kumchunga kwa kutosifia kisa asichepuke??? Hahahaha kanuni yangu huwa ni moja nisijue na nakwepa kujua kuwa kuna mtu nashea nae