BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 4,080
- 8,430
Naona hasira zako umeamua kuzimaliza eti haya uje kule hasira zimeishaSiwezi kukupiga....naogopa sindano
![]()



Naona hasira zako umeamua kuzimaliza eti haya uje kule hasira zimeishaSiwezi kukupiga....naogopa sindano
![]()



Ahsanteee. Nitakuja uwe mwenyeji wangu
Karibu sanaAhsanteee. Nitakuja uwe mwenyeji wangu
Sawa.....nitumie na yakutolea,au nije na miguu au miguu niiacheNaona hasira zako umeamua kuzimaliza eti haya uje kule hasira zimeisha![]()

Ahsanteeee Rafiki yangu.Karibu sana
Utanikuta,,,,,,In'shaAllah
Ukweli ulikuwa 20%
Kidogo nikupotee bae, ule uzi upo nitakutag baadae
Miss you more bae
Hahah unazidi kunoga tuHaha cha kukupoteza?
Nitag nije niwasabahi watoto wa kishua
Kitambo sijakutana na snap yako. Do the needful![]()

Weweee 🤣🤣Hahah unazidi kunoga tu
Watoto wa kishua wapo, wamekumiss tu
Ngoja niiweke chap watu wako kwenye lunch![]()
Safi sana Nige
Eeeh!





🤣🤣🤣 hebu fumba machoSafi sana Nige
Nimeshangaa sana 🤣🤣 kwahiyo ulikuwa around au notification ziko on?Eeeh!
Mimi huyuhuyu nisione?
Nimekuja Kama upepoNimeshangaa sanakwahiyo ulikuwa around au notification ziko on?
Dah haufai![]()
