Jipige kifua wewe hajawahiwa bado niamini sema lindo litakuharibia maana mtoto atakapotaka out za night hee ndo utakapoanza kudodge lindo hahahaha cc Chakorii cc mtu chake
Jipige kifua wewe hajawahiwabadoniamini sema lindo litakuharibia maana mtoto atakapotaka out za night hee ndo utakapoanza kudodge lindo hahahaha cc Chakorii cc mtu chake
Mimi nilishasema humu siwezi kulewa.
Yaani ninywe Halafu nilewe!!nalewaje??
Haiwezekani!
Huwa hainiingii akilini kabisa kama kuna kitu kinaitwa kulewa.
Kila kilevi kina kiasi chake cha kulewesha kimeandikwa kwenye Chupa, let's bia X ina 4.8% alcohol kwahiyo ukinywa chupa labda 5 manake utakuwa na kilevi kichwani 24%.
Tena kama itakuwa mara yako ya kwanza lazima uone Dunia inazunguka live π
Kila kilevi kina kiasi chake cha kulewesha kimeandikwa kwenye Chupa, let's bia X ina 4.8% alcohol kwahiyo ukinywa chupa labda 5 manake utakuwa na kilevi kichwani 24%.
Tena kama itakuwa mara yako ya kwanza lazima uone Dunia inazunguka live