Hayo maji ya dew drop uwa ni mazuri. Na chupa yake inakuwa na mvuto flani hivi huwezi compare na chupa za uhai
Probably atakuwa ni T 1990 ELYHuyu anaweza kuwa nani View attachment 1869461
Uchebe 😁Good morning palsView attachment 1869735
Maisha hayako fairHe's just 29yrs old...Neymar jr.View attachment 1869482
😆😆😆 Na hayatokaa yawe fair kwenye ardhi hii iliyoachwa na kina Adam & EvaMaisha hayako fair
Wengine umri huo ndiyo tulikuwa tunapambana na mishahara kiduchu ya Wahindi wenzetu wanamiliki Chopa🙆🙆
Kwa kweli, alafu kwenye maandiko wamesema utafuteni kwanza ufalme wake na hayo mengine mtazidishiwa.😆😆😆 Na hayatokaa yawe fair kwenye ardhi hii iliyoachwa na kina Adam & Eva
🤣🤣 hujachelewa bado na wewe litimize.Kwa kweli, alafu kwenye maandiko wamesema utafuteni kwanza ufalme wake na hayo mengine mtazidishiwa.
Nadhani Neymar JR ametimiza sana hilo takwa😜
Anyways, Hujambo lakini bibie?? Fanya kunitumia Sato kilo 10 😄
🤣🤣 hujachelewa bado na wewe litimize.
Sijambo. ... Mbona huu mkoa nilipo hauna Sato wala Sangara? Hapa nilipo labda ndizi mshale au ndizi ng'ombe 🤪
Nitafanya hivyo.. ila ukitusua usisahau waliokuombea 😎Niombee kabla mwaka haujaisha nitusue, dalili nimeziona kwa Neymar JR 😄
Kumbe hatuko mbali sana, fanya chane 3 nikapate mbuzi choma 😋😋
Usijali, nikifanikiwa kupata walau thelethi ya Utajiri wa Neymar JR basi Toyota V8 itakuhusu kama zawadi. Endelea kuniombea 😄Nitafanya hivyo.. ila ukitusua usisahau waliokuombea 😎
Wee zinakuja na boda 😉 we zisubiri stand tu
Inshallah... Mathayo 7:7-9Usijali, nikifanikiwa kupata walau thelethi ya Utajiri wa Neymar JR basi Toyota V8 itakuhusu kama zawadi. Endelea kuniombea 😄
Tumwombe huyo boda awahishe hizo ndizi, manake mbuzi huku anashuka kwa haraka Sana kwa support ya 🥂
Nimesoma hiyo Mathew 7:7-9 nimefarijika sana.Inshallah... Mathayo 7:7-9
Anakaribia. Sogea stand 😎
Ukimkaribia huyo Dada anayevuka barabara hapo mbele mpe hongera, mwambie amependeza sana.