Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwisho wasiku ikabidi aanze kumsifia kwenye maeneo mengine. Maana alijua kwenye appearance na usafi ndio ashafeli.
Eti mke wake katuzidi Elimu ana kazi zuri, ana akili na simu zuri ana nidhamu anajua kupika na blah blaah.
Ndio ajue hata sisi ni wapenzi/wake za wanaume wenzie na uzuri wetu wanauona wao kama ambavyo wa mkewe anauona yeye. Yeye anaumia wake kupewa makavu live wakati bingwa wa kupaka wenzie


Eti hatuna kazi
ye mwenye kazi nzuri kapata wapi muda wa kufuatilia wanawake wa humu na kujua muda wote wapo online!!!

FURUSHI.
 
Hahahaha kubwa ni kuwa team moja mbona tutawanyoosha wote vya udomo, mi nakubali kuna watu kukwazana lkn ndo utukane jamii yake yote??? Kumfata pm alishindwa!! Ustaarabu ni kitu cha bure
Yaani kosa la mtu mmoja ukandie watu wote.
Ajifunze kwetu, kosa ni lake na tumedeal nae yeye bila kuhusisha wanaume wengine wa jf.
Sio umekutana na sample moja haijakuridhisha ndio unajidai umeiona jf nzima.
 
Una akili Sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…