Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Pole sana dada angu tatizo ulienda na matokeo yako mfukoni bado na tarehe 25 tena
ha ha ha ha yaani jana sitaki kukumbuka siku ilikua nzito ghafla yaani tulivyojiamini daaah na majezi yetu!!!
Pole sana dada angu tatizo ulienda na matokeo yako mfukoni bado na tarehe 25 tena
Japo Mimi ni Azam ila harufu za nyie kufugwa zilikuwepoha ha ha ha yaani jana sitaki kukumbuka siku ilikua nzito ghafla yaani tulivyojiamini daaah na majezi yetu!!!
😀😀😀Japo Mimi ni Azam ila harufu za nyie kufugwa zilikuwepo
Azam Lia lia
Acha urongo.
Inabidi nificheNimeziona dimples

Ng'ombe wa buza??Hazifichiki ni sawa tu na pembe la ngo'ombe!![]()
Ni poa kabisa Shem darling wa kienyeji.nimekuhamu wa kienyejiMambo poa tu vipi mzima wewe shemeji yangu kipenzi wa kienyeji
Ni mpaka umuudhi
simuwezi,mie nataka wa maziwa.