Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unachukua mil 100+ unachukua gov bond ya miaka 20 kila mwaka unakula mil 15.5

Unaenda bank unachukua 80M, mkopo wa miaka 7, collateral ni bonds zako na mkopo unakua serviced na bonds.

Mil 80 unachukua BTC 1 unaitia cold wallet miaka mi5. Acha pesa ikufanyie kazi.
Hizo 100m hazipatikani tu from nowhere..ili hela ikufanyie kazi inabidi kwanza wewe iufanyie kazi kwelikweli.
 
Dear selfikas
Screenshot_20210702-192408.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom