Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Hata sikuangalia namba..ni ya dogo,siyo yangu...mimi inanibana Sana.Namba ngapi hiyo Anne.
Hata sikuangalia namba..ni ya dogo,siyo yangu...mimi inanibana Sana.Namba ngapi hiyo Anne.
Hizo 100m hazipatikani tu from nowhere..ili hela ikufanyie kazi inabidi kwanza wewe iufanyie kazi kwelikweli.Unachukua mil 100+ unachukua gov bond ya miaka 20 kila mwaka unakula mil 15.5
Unaenda bank unachukua 80M, mkopo wa miaka 7, collateral ni bonds zako na mkopo unakua serviced na bonds.
Mil 80 unachukua BTC 1 unaitia cold wallet miaka mi5. Acha pesa ikufanyie kazi.
Kwendraaaaa....!!! Makinika usije kusema babuu ntoe baridiBabuuuh hiyo kwiooooh,![]()





Saa hii?Sijui ni dinner,sijui dafu,sijui breakfastView attachment 1838344



ndiyo.MduduCha kitimoto?
Chai iko wapi?😁
UnanioneaChai iko wapi?![]()

Njaa mbaya sana.
Hao watani sasa...View attachment 1838645
View attachment 1838647
maandalizi ya kwenda uwanjani mapema kushuhudia tukichukua Ubingwa wa nchi mbele ya watani zetu, kwa mkapa hatoki mtu




Asante tutakua pamoja kwa mkapa "KUKIWASHA"View attachment 1838645
View attachment 1838647
maandalizi ya kwenda uwanjani mapema kushuhudia tukichukua Ubingwa wa nchi mbele ya watani zetu, kwa mkapa hatoki mtu
nimekuona sehemuView attachment 1838645
View attachment 1838647
maandalizi ya kwenda uwanjani mapema kushuhudia tukichukua Ubingwa wa nchi mbele ya watani zetu, kwa mkapa hatoki mtu




Asante tutakua pamoja kwa mkapa "KUKIWASHA"