Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,997
- 137,013
Ee, huyo jamaa anatamaa.Duh!Kumbe!
Ee, huyo jamaa anatamaa.Duh!Kumbe!





Ni wapi hapo mkuu?Kwa wewe mzee wa Fursa mambo madogo sana haya kwako.
Sasa hivi bei bado iko chini kwa sababu utalii haujachangaya sana, bado watalii hawajaanza kuja kwa wingi.
Ni wapi hapo mkuu?
Pole sana dada angu tatizo ulienda na matokeo yako mfukoni bado na tarehe 25 tenamapemaaaaa
Bro sikuizi ukibet naenda against na wewe upogo kinyume nyume
Acha maneno ya kihuni...kuwa na heshima binti....kidding
Hii kitu itakua Mbeya kabisa
KaribuPazia nimezipenda mno.![]()

Njoo uleDuuuuuuh.
Tunawanyuka tena.Mmmmmh tukutane kigoma, furaha yenu ya muda mfupi.
Umewaka sana
Nasubiri tena tuwanyukeAcha maneno ya kihuni...kuwa na heshima binti....kidding
Hongereni kwa kombe hilo la kuifunga Simba.

Hakika.Hii kitu itakua Mbeya kabisa
Ulikuwa kwa Mkapa?Nasubiri tena tuwanyuke
Siwezi hudhuria uwanjani halafu tushindwe.