Alhamdulillah🙏🙏🙏
Huu utalii ni kuhatarisha maisha tuUtalii huu
Hawa watu wamenifanya nisisimke mwili kwa uoga.View attachment 1793274
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuuHuu utalii ni kuhatarisha maisha tu
🤣🤣🤣yan mtu umelipia chumba 15k, wanaogopa utakimbia na ndala za 2k🙆♂️🙆♂️🙆♂️View attachment 1793216
Najiuliza hii sheria ya kukata hivi ndala ili tusitoroke nazo ilipitishwa na Bunge hili hili au lingine??😇😅
Sawa.Miguu ya senene
Nimeona tu hiyo waist chain ☺️

Huhuhuh mic u kipendhiiiiiih, nan anakuficha jaman? LolNimeona tu hiyo waist chain![]()
Ulinitafuta wapi na wapi ukanikosa? 🤪 Nipo dear coca.Huhuhuh mic u kipendhiiiiiih, nan anakuficha jaman? Lol