Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ona kipondo hicho
IMG-20210620-WA0267.jpg
 


[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1539][emoji1539][emoji1539][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baabuuuh acha uchokozi wako hapa.
 
1. Kazi ngumu na hatarishi- Baba
2. Kuweka mambo moyoni (msongo) kuonyesha ubaba hata kama yanaumiza - Baba
3. Ikitokea vita, anayeenda vitani - Baba
4. Ulevi wa kupindukia na hatarishi kwa kinachodhaniwa kupunguza stress - Baba

5. Safari nyingi/za mara kwa mara na ndefu ambazo huongeza risk - Baba

6. Anapotembea barabarani na wife, au hata na mtoto hukaa upande wa magari kumlinda mama/mtoto -
Baba
7.Majambazi wakivamia home anakuwa mstari wa mbele kupambana - Baba

#MaskiniBaba
IMG-20210620-WA0185.jpg
 
In this father's day[emoji24][emoji24]View attachment 1824799
1. Kazi ngumu na hatarishi- Baba
2. Kuweka mambo moyoni (msongo) kuonyesha ubaba hata kama yanaumiza - Baba
3. Ikitokea vita, anayeenda vitani - Baba
4. Ulevi wa kupindukia na hatarishi kwa kinachodhaniwa kupunguza stress - Baba

5. Safari nyingi/za mara kwa mara na ndefu ambazo huongeza risk - Baba

6. Anapotembea barabarani na wife, au hata na mtoto hukaa upande wa magari kumlinda mama/mtoto -
Baba
7.Majambazi wakivamia home anakuwa mstari wa mbele kupambana - Baba

#MaskiniBabaView attachment 1824803
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom