cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ngoja next tyme nikija Chuga ntakucheki.Ulinitafuta wapi na wapi ukanikosa?Nipo dear coca.


Ngoja next tyme nikija Chuga ntakucheki.Ulinitafuta wapi na wapi ukanikosa?Nipo dear coca.





baabuuuh acha uchokozi wako hapa.Mmmmmmmmmh
Wee ngosha vipi tena?Mmmmmmmmmh
Baki hapa unaenda wapi?
Huo mpaja na vinyweleo vyake nimeupenda bure kwa kweliWee ngosha vipi tena?
Mabena anakuja kwa kasi sana kama NFS.
Yaani kwa kweli wanatuonea sana wateja wao, imagine unatoka room yako unakwenda duka la jirani kufata mahitaji na ndala za namna hiyo 😅😅🙆🤣🤣🤣yan mtu umelipia chumba 15k, wanaogopa utakimbia na ndala za 2k🙆♂️🙆♂️🙆♂️
1. Kazi ngumu na hatarishi- Baba
2. Kuweka mambo moyoni (msongo) kuonyesha ubaba hata kama yanaumiza - Baba
3. Ikitokea vita, anayeenda vitani - Baba
4. Ulevi wa kupindukia na hatarishi kwa kinachodhaniwa kupunguza stress - Baba
5. Safari nyingi/za mara kwa mara na ndefu ambazo huongeza risk - Baba
6. Anapotembea barabarani na wife, au hata na mtoto hukaa upande wa magari kumlinda mama/mtoto -
Baba
7.Majambazi wakivamia home anakuwa mstari wa mbele kupambana - Baba
#MaskiniBabaView attachment 1824803





