Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Oct 4, 2019 #10,081 Hannah said: Naanzaje kusahau kirahisi na wakati mwezi mzima huku alikuwa anatusema sisi ni wabovu. Kwa picha ya demu wake hiyo daahsiwezi kusahau kwakweli.View attachment 1223242View attachment 1223244 Click to expand... vita ni vita mura no retreat no surrender
Hannah said: Naanzaje kusahau kirahisi na wakati mwezi mzima huku alikuwa anatusema sisi ni wabovu. Kwa picha ya demu wake hiyo daahsiwezi kusahau kwakweli.View attachment 1223242View attachment 1223244 Click to expand... vita ni vita mura no retreat no surrender
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 4, 2019 #10,082 Oops mamy SweetieLee said: daamn..!! Kwanini siku zote hizo hukuniambia kama wewe ni kifaa hivyo dada? Click to expand...
Oops mamy SweetieLee said: daamn..!! Kwanini siku zote hizo hukuniambia kama wewe ni kifaa hivyo dada? Click to expand...
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,768 Oct 4, 2019 #10,083 Na umekua mpole kweli eti Hannah said: Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma? Click to expand...
Na umekua mpole kweli eti Hannah said: Sio wewe uliniambia Siku hizi nimekuwa mpole hadi natia huruma? Click to expand...
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 4, 2019 #10,084 Mshana Jr said: Akikataa nitajua la kufanya Click to expand... Usimtengue kiuno tu
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 4, 2019 #10,085 Eeeeeh Pulisic CFC said: Huyu namfananisha Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,086 Karma said: Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana. Click to expand... nimechekaaa. Aliona ukondoo wa nje. Aliona kuacha kujiita dark angel ndio nimeokoka.
Karma said: Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana. Click to expand... nimechekaaa. Aliona ukondoo wa nje. Aliona kuacha kujiita dark angel ndio nimeokoka.
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Oct 4, 2019 #10,087 Jimmie Gatsby said: insta babe Shunie nakusalimuView attachment 1223245 Click to expand... Ebu fanya ukuje pm au wassap basi
Jimmie Gatsby said: insta babe Shunie nakusalimuView attachment 1223245 Click to expand... Ebu fanya ukuje pm au wassap basi
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,768 Oct 4, 2019 #10,088 Hana mambo mengi bwana anko wangu. We labda tu uwe humtaki Zesh said: Anko wako mambo mengi wacha wenzie wachukue nafasi Click to expand...
Hana mambo mengi bwana anko wangu. We labda tu uwe humtaki Zesh said: Anko wako mambo mengi wacha wenzie wachukue nafasi Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 Oct 4, 2019 #10,089 Mzigua90 said: Mi nikilala nakuota ndotoni bae Click to expand... We dada ebu acha wizi wako
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,090 Mzigua90 said: Wifi weeee. Karangi ka mtume. General Mangi anko unafeli wapi?? Click to expand... General Mangi ni wakwangu jamani.
Mzigua90 said: Wifi weeee. Karangi ka mtume. General Mangi anko unafeli wapi?? Click to expand... General Mangi ni wakwangu jamani.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,954 Reaction score 831,491 Oct 4, 2019 Thread starter #10,091 Mzigua90 said: Kwani kusifiwa dhambi? Embu acha watu wafanye wanayotaka we kama unajua ukituma yako hatutakusifia jitulize Click to expand...
Mzigua90 said: Kwani kusifiwa dhambi? Embu acha watu wafanye wanayotaka we kama unajua ukituma yako hatutakusifia jitulize Click to expand...
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Oct 4, 2019 #10,092 Karma said: Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana. Click to expand... Pamoja na ubishi wako wote Karma ila kwa huyu dada huingii hata robo
Karma said: Naona hakumjua vizuri the tiger in you aliona ukondoo wako wa nje tualivyoona umeacha kujiita dark angel akajua na udevil utakuwa umekwisha kabisa, kwamba sasa umekuwa Hannah Montana. Click to expand... Pamoja na ubishi wako wote Karma ila kwa huyu dada huingii hata robo
Jimmie Gatsby JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 3,588 Reaction score 7,287 Oct 4, 2019 #10,093 Shunie said: Ebu fanya ukuje pm au wassap basi Click to expand... kwanza vipi uko poaaa? maana kitambo sana humu sasa nimerudi rasmi
Shunie said: Ebu fanya ukuje pm au wassap basi Click to expand... kwanza vipi uko poaaa? maana kitambo sana humu sasa nimerudi rasmi
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 4, 2019 #10,094 PTER said: Hatimae umeitikia with wangu Click to expand...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,954 Reaction score 831,491 Oct 4, 2019 Thread starter #10,095 Mzigua90 said: Kiatu chako Click to expand... halafu mbona hujanitumia zile tarakimu?
Jimmie Gatsby JF-Expert Member Joined Mar 7, 2013 Posts 3,588 Reaction score 7,287 Oct 4, 2019 #10,096 Shunie said: Insta babe wangu nimekumiss jamani Click to expand... nimekumiss sanaaaa.... nimerudi uraiani rasmi maana ni kama nilikuwa kifungoni vile
Shunie said: Insta babe wangu nimekumiss jamani Click to expand... nimekumiss sanaaaa.... nimerudi uraiani rasmi maana ni kama nilikuwa kifungoni vile
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,097 Mshana Jr said: Unafukua makaburi loh... Click to expand... Nilikuuliza sijashinda bado? Nikikaa kwenye huu uzi nakumbuka tuu hiko na siwezi kujizuia kwa kweli. Na sijui nitasahau lini.
Mshana Jr said: Unafukua makaburi loh... Click to expand... Nilikuuliza sijashinda bado? Nikikaa kwenye huu uzi nakumbuka tuu hiko na siwezi kujizuia kwa kweli. Na sijui nitasahau lini.
Zesh JF-Expert Member Joined Apr 27, 2017 Posts 15,450 Reaction score 25,155 Oct 4, 2019 #10,098 Shunie said: Wachaaaaa Click to expand...
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Oct 4, 2019 #10,099 Mzigua90 said: Mi kibonge ndo shida Click to expand... Hata mimi kibonge haujaona?
Come27 JF-Expert Member Joined Dec 1, 2012 Posts 7,742 Reaction score 7,431 Oct 4, 2019 #10,100 Commander In Chief said: Night Mode. Buenas noches amigos.View attachment 1222972 Click to expand... Hakuna haja ya kuficha uso camera uliyotumia ya simu ina uwezo wa kugundua wewe ni nani?
Commander In Chief said: Night Mode. Buenas noches amigos.View attachment 1222972 Click to expand... Hakuna haja ya kuficha uso camera uliyotumia ya simu ina uwezo wa kugundua wewe ni nani?