Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤔

0AD6B503-98B9-4E25-9D0B-E318D57EFF30.jpeg
 


Kwa nini unapoteza muda kwenye suala ambalo mwisho wa siku unaingiza shilingi sifuri?

Nipe maswali nikujibu honestly tumalize kesi mapema ili uokoe muda wa kumake mapene.

Kukumegea siri tu, nobody knows me humu JF zaidi yangu, so kindly consider my offer.

Dah! Halafu haipendezi kujila mwisho siku unakuja na findings za kitoto eti nina ID kadhaa. So what?
Mawazo yako yapo tofauti sana, na utafiti wangu. Sorry kwa hilo.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom