Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,175
- 829,132
- Thread starter
- #100,741
Tuishi kwa imani na imani..hata pale tunapopitia changamoto nyingi na ngumu.. Kwa imani zetu kama waamini tujue ya kuwa yuko mmoja mweza wa yote
Zingatia sana neno USIOGOPE!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


