Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh

Hii ndio naiona Leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda wewe sio mtu wa kusafiri mara kwa mara Saint Anne

Licha ya kustaafu kwa lazima miaka 12 iliyopita bado nasafiri mno na kufikia nyumba za wageni. Hivyo nimekutana na hizi changamoto ya kuvalishwa ndala zilizopasuliwa mbele au papa na ngulu mara kwa mara πŸ˜„πŸ˜„

Nilishangaa hata juzi nilipokwenda 🏊🏼🏊🏼kwa akina Chakorii nilivalishwa πŸ˜‚πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
 

Adam pekee ndie mwanaume ambaye hakuwa na vinasaba vya kike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mathayo 3:1

Siku zile aliondokea Yohana Mbatizaji akihubiri katika nyika ya Uyahudi,na kusema,

2 Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.

3 Kwa sababu huyo ndiye aliyenenwa na nabii Isaya,akisema,
Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana, Yanyosheni mapito yake.

.................................................................
Luka 3:4
Kama ilivyoandikwa katika chuo Cha maneno ya nabii Isaya;
Sauti ya mtu aliaye nyikani, Itengenezeni njia ya Bwana,Yanyosheni mapito yake.

5 Kila bonde litajazwa,
Na kila mlima na kilima kitashushwa,
Palipopotoka patakuwa pamenyoka,
Na palipoparuza patalainishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuache na ndala zetu
 
Hahaha.....kwa kweli πŸ˜„πŸ™Œ

Let's talk serious, hivi guu hilo natakiwa nilipie mahali ya ng'ombe wa ngapi kuumiliki??
Nataka niongee na Bibi yako aridhie uwe msaidizi wake, najua kwa uzee huu nahitaji zaidi joto la kigori kama wewe πŸ˜‹πŸ™ˆπŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
 
Kwahiyo hapo ndo umeuliza kitu siriazi πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…