Then do it sometimes, huwezi jua unaweza kutana na baharia akakuzingatia kesh yake akatangaza ndoa
Looh wewe kataa lakini kama ni kukata rufaa niko tayari. Unayakataa mwenyewe mahips yako leo ?, Usilete utani hapa
unakumbuka kuna pich ulituma unasema
" yani mimi nitembee hivi mimi " ulikua umejaza humo pemben kama kondoo wa sufi.